Hivi unawezaje kumpa mtu kadi ya mchango wa harusi ilihali hamjazoeana?

Mwanga Lutila

JF-Expert Member
Nov 10, 2016
4,022
13,218
Yaani umeonana tu mtu mlisoma nae na hamjawahi kuonana takribani miaka 15, ghafla tu anakwambia mwaka huu naoa kadi yangu ya harusi hii.

Naomba namba yako nikuunge kwenye group.

Miaka yote hiyo mtu hamjawahi onana wala hamjawahi wasiliana na hakuna mazoea yoyote ila mtu anataka umchangie kisa mlisoma wote..

Halafu sio lazima kila classmate lazima mbadilishane namba, mtaongea nini?
 
Yaani umeonana tu mtu mlisoma nae na hamjawahi kuonana takribani miaka 15, ghafla tu anakwambia mwaka huu naoa kadi yangu ya harusi hii.

Naomba namba yako nikuunge kwenye group.

Miaka yote hiyo mtu hamjawahi onana wala hamjawahi wasiliana na hakuna mazoea yoyote ila mtu anataka umchangie kisa mlisoma wote..

Halafu sio lazima kila classmate lazima mbadilishane namba, mtaongea nini?
Kwanza define "kuzoeana"
Pili, ulikuwa na option ya kumpa no fake, why didn't you utelise it?.
 
Wakristo ndio michongo yao hyo yaani hawa jamaa hawana kitu simple hata kimoja msiba gharama harusi gharama kuna mmoja hanijui simjui alitaka kuniweka kwenye kamati ya harusi nikachomoa nikampa twenty akapita hivi sema wanafanya kama njia ya kutafuta mtaji.
 
Yaani umeonana tu mtu mlisoma nae na hamjawahi kuonana takribani miaka 15, ghafla tu anakwambia mwaka huu naoa kadi yangu ya harusi hii.

Naomba namba yako nikuunge kwenye group.

Miaka yote hiyo mtu hamjawahi onana wala hamjawahi wasiliana na hakuna mazoea yoyote ila mtu anataka umchangie kisa mlisoma wote..

Halafu sio lazima kila classmate lazima mbadilishane namba, mtaongea nini?
Asante mkuu.
Anatokea mtu, hamjuani, hamjazoeana, wala hamko rika moja, huyooo anakupa kadi ya mchango wa harusi..
Kwa kumuheshimu huyo mtu unashindwa kukataa au ukubali mwomba mchango.
Mwisho una kaa kimya tu.
 
Shukuru Mungu huyo hata unajuana nae kwetu hua wana utaratibu flan wa kifala sana wanatoa kwa maeneo yaaan

Wanaaanza Arusha kadi labda 70 anapewa mkubwa Moja hapo anasambazia kadi ndugu walio pale na atahusika kukusanya, watafanya hvo hvo Kwa ndugu wa maeneo mengine utakuta Moshi, dar na dom...dadeq hapo unakuta ni labda ndugu yetu wa kike anaolewa hukoo kilosa ndugu mwenyw humjui unalazimishwa umjue😁
 
Yaani umeonana tu mtu mlisoma nae na hamjawahi kuonana takribani miaka 15, ghafla tu anakwambia mwaka huu naoa kadi yangu ya harusi hii.

Naomba namba yako nikuunge kwenye group.

Miaka yote hiyo mtu hamjawahi onana wala hamjawahi wasiliana na hakuna mazoea yoyote ila mtu anataka umchangie kisa mlisoma wote..

Halafu sio lazima kila classmate lazima mbadilishane namba, mtaongea nini?
Kuwa muwazi usipende kukubali Jambo kubwa kuliko uwezo wako.Super!!!
 
Watu wa aina hiyo ni mafala sana Tena unakuta ni jitu ambalo hata salamu halitoi, vijtu jeuri, kibri na dharau ndio viko Shababii sana kwenye swaga hizo. Huwa namchana kadi zao za hao vibwengo
 
Back
Top Bottom