Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Nilipita pale kwa michuzi na nikaona picha ya deleuxe Mwanza,imenikumbusha mbali sana...way back nilipokuwa Mwanza mwaka 2000.Mlioko huko naomba mniambie kama bado upo.
Nilikumbuka ukumbi huu ulikuwa na mlango mmoja tu wa kutokea,Hisia zimenipanda sana baada ya ile ajali iliyotekea Tabora na kuua watoto..Kama bado upo basi tutarajie maafa mengine tu ..
Naomba mtu mwenye habari atuambie...Mwanakijiji unapakumbuka hapo?
Nilikumbuka ukumbi huu ulikuwa na mlango mmoja tu wa kutokea,Hisia zimenipanda sana baada ya ile ajali iliyotekea Tabora na kuua watoto..Kama bado upo basi tutarajie maafa mengine tu ..
Naomba mtu mwenye habari atuambie...Mwanakijiji unapakumbuka hapo?