M Muite JF-Expert Member Sep 10, 2013 2,342 4,801 Aug 10, 2023 #1 Nijijibu mwenyewe kuwa ukubwa wa timu ya Azam UPO KWENYE RASILIMALI HASA KIWANJA, TV NA VIWANDA NA WALA SIO UWANJANI. Uwanjani Timu ya Azam ni sawa tu na Coastal Union, Moro Utd, Mtibwa , Ruvu shooting nk
Nijijibu mwenyewe kuwa ukubwa wa timu ya Azam UPO KWENYE RASILIMALI HASA KIWANJA, TV NA VIWANDA NA WALA SIO UWANJANI. Uwanjani Timu ya Azam ni sawa tu na Coastal Union, Moro Utd, Mtibwa , Ruvu shooting nk
Evelyn Salt JF-Expert Member Jan 5, 2012 63,649 112,777 Aug 10, 2023 #3 Bongo timu ni yanga tu, hivyo vingine ni vikundi vya wapasha viungo
Kaka yake shetani JF-Expert Member Feb 1, 2023 3,611 8,740 Aug 10, 2023 #4 Ukubwa wa azam ni wenye njaa kujinufaisha maana kinachofanyika hapo. Wachezaji ndoto zao simba na yanga. Azam ni sehemu ya maokoto
Ukubwa wa azam ni wenye njaa kujinufaisha maana kinachofanyika hapo. Wachezaji ndoto zao simba na yanga. Azam ni sehemu ya maokoto
mkale JF-Expert Member Sep 21, 2011 1,585 1,691 Aug 10, 2023 #5 mental block inawasumbua.. wawe na dira kwenye soka la bongo.. watatoboa tu.