Hivi ukitoa NBCPL, Azam TV wana nini kingine?

Hivi ukitoa NBCPL, Azam TV wana nini kingine?

Ukitoa mpira wa Ulaya, DStv kuna nini?

Startimes labda tamthilia
Nafikiri huwa unaisikia DSTV. Ukitoa mpira, bado Azamtv haifikii hata robo.
Mule unapata unachokihitaji mpaka WWE channel yake ipo
 
Nafikiri huwa unaisikia DSTV. Ukitoa mpira, bado Azamtv haifikii hata robo.
Mule unapata unachokihitaji mpaka WWE channel yake ipo
Kwamba unalipia 160,000 kuangalia WWE na Juakali.

Wewe ni msenge
 
Na kombolela linafanya dada kila siku ananipikia mi vyakula haileweki..!!
 
Kulinganisha nini?

Kwa taarufa yako DStv ni mpira wa Ulaya, ambao mnalipia Tsh 160,000 kwa mwezi wakati sisi tunaangalia BURE.

Endeleeni kutapeliwa.
Mkuu mi sio mpenzi wa soka kivilee lakini naona kama DSTV wanajitahidi sana kuliko Azam na Startimes
 
Mkuu mi sio mpenzi wa soka kivilee lakini naona kama DSTV wanajitahidi sana kuliko Azam na Startimes
Unapenda kuangalia nini?

Mimi siyo mtu wa TV, ila home walinunua Startimes kwaajili ya kuangalia Tamthilia tu
 
Huwa unaona matangazo tu na hujawahi kuitumia.
Ukiona Juakali unafikiri ni kama kipindi ambapo mshu* wakx alimla mazelz wakz kiboga kisha akamnyonysh mazel wsk kishw akaweka kweny Ps ndiyo ukapatikana wewe
Nina jamaa zangu wawili wana DStv, na huwa wanalipia Tsh 160,000 kila mwezi.
 
Mkuu mi sio mpenzi wa soka kivilee lakini naona kama DSTV wanajitahidi sana kuliko Azam na Startimes
Siyo DSTV wanajitahidi, ila DSTV huwezi kuifananisha na Azam kwa kila kitu. Azam amejaza uchafu, huwezi kukaa ukaangalia ukaenjoy.
Tafuta channel za muziki ndiyo utacheka
 
Mefananisha swali hili na lile lisemali "...ivi ukiacha ngono mwanamke ana kipi zaidi chakumpa mwanaumeee ......?"

Tunatofautiana katika kuthaminisha vitu. Thamani ya kitu hujulikana pali kinapokosekanaaa
 
Kama channel za movie ni chache Sana, Cinema zetu yenyewe kuna kipindi ilikua nzuri walikua wanaweka single movie nzuri kuanzia asubuhi Hadi usiku, usiku ndio walikua wanaweka tamthilia za Kiswahili, lakini sasahivi ni kutwa nzima wanaweka tamthilia ambayo nzuri ni moja tuu.

Ukitoa Mpira wa kibongo startimes NI Bora kuliko Azam TV

NI wakati sasa wa kununua DSTV au STARTIMES.

Wenye DSTV vipi na huko? Au nihamie STARTIMES??
mm sio mfuatiliaji wa tv sana ila kuna tamthilia flan nlikua naona watu wanajzana seblen inaitwa alpaslan sjawahi elewa maaana sjaiangalia ila naona watu hapa huwaambii kitu
 
Unapenda kuangalia nini?

Mimi siyo mtu wa TV, ila home walinunua Startimes kwaajili ya kuangalia Tamthilia tu
Kumbe bado unaishi kwenu😁😁😁😁
Jitegemee ndiyo utajua vitu vizuri na vya kijinga. Umekaa hapo kwenu wanatumia Startimes ukaona matangazo ya DSTV ya Juakali ukaanza kutukana watu😁😁😁😁
Ukichukua Azamtv na Startimes kwa pamoja bado wanapelea mbali sana kwa DSTV.
 
Kumbe bado unaishi kwenu😁😁😁😁
Jitegemee ndiyo utajua vitu vizuri na vya kijinga. Umekaa hapo kwenu wanatumia Startimes ukaona matangazo ya DSTV ya Juakali ukaanza kutukana watu😁😁😁😁
Usitake kunijua humu, utakuja kufa kwa kupenda kujionesha humu.

Kwa taarifa yako, anaengalia hizo tamthilia ni wife.

Mimi sina muda na TV.
 
Ukitoa watu dunia inabaki na nini?

Kwanini utoe mpira in first place ? Azam ipo ilivyo sababu ya mpira
 
Usitake kunijua humu, utakuja kufa kwa kupenda kujionesha humu.

Kwa taarifa yako, anaengalia hizo tamthilia ni wife.

Mimi sina muda na TV.
😁😁😁😁
Naona unajikosha, uliponiambia mimi ni msenge wa kulipia 160,000 DSTV wa kuangalia WWE na Juakali nikajua wewe unaishi kwenu.
Unakula bure, unalala bure na unakunya bure nyumbani huwezi kuijua DSTV. Kajitegemee ndiyo utajua utamu wa DSTV😁😁😁
 
😁😁😁😁
Naona unajikosha, uliponiambia mimi ni msenge wa kulipia 160,000 DSTV wa kuangalia WWE na Juakali nikajua wewe unaishi kwenu.
Unakula bure, unalala bure na unakunya bure nyumbani huwezi kuijua DSTV. Kajitegemee ndiyo utajua utamu wa DSTV😁😁😁
Naachana na wewe kiazi.
 
Nina jamaa zangu wawili wana DStv, na huwa wanalipia Tsh 160,000 kila mwezi.
Kawaulize kwanini wanalipia. DSTV labda km hauna hela. Hapa bongo sijaona kisimbusi cha kuifananisha na DSTV, ukitoa DStv mbadala wake ni canal+
Azam amejaza uchafu mule mwingi tu ni bora na startimes.
Startimes akifanikiwa kurusha league ya bongo, ujue Azamtv ndiyo utakuwa mwisho wake
 
Back
Top Bottom