utafanya nini na ameshaamua???? na mpaka amefikia kuweka wazi in public inamaana amemuona huyo ni bora zaidi. huna cha kufanya na mapenzi hayalazimishwi chukua hamsini zako. unatakiwa kujiuliza alichokosa kwako nini mpaka ameamua kwenda kwa mwingine tena ameweka wazi ujue hakutaki tena hata kama anarudi kwako anarudi tu lakini hamna mapenzi tena hapo au anarudi sababu ya watoto tu. Wengine wanasema huyo ni mume wako hivyo uvumilie ubebe msalaba wako. Msalaba upi?? utavumilia mangapi? tatizo letu sisi waafrika wengi wetu sio wote hatuna maamuzi mambo ya kuvumilia ujinga yalishapitwa na wakati achana nae songa mbele. Na pia huwa tunapenda kujiuliza nikitoka watu watanielewaje??? au nakwenda kuanzia wapi??? nitaweza kweli mimi???? NANI ALIKWAMBIA KWAMBA MAISHA BILA YEYE HAKUNA TENA??? tuache ujinga wanawake tuamke........ YEYE AKIKUKUTA WEWE UNCHEAT MBONA NI RAHISI KUKUACHA WALA HAJIULIZI MARA MBILIMBILI?? MBONA WAO WANAWEZA KWANINI SISI TUSHINDWE????????????
HAYO NI MAONI YANGU TU "KWA MIMI BINAFSI NAACHANA NAE"
HAYO NI MAONI YANGU TU "KWA MIMI BINAFSI NAACHANA NAE"