Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
mm nitamsamehe kwakua ni mume wangu na nitatafuta uvumbuzi wa why anicheat then nitajirekebisha nilikokosea,kama ni hulka yake nitajaribu kumuelewesha ili aweze kuiacha iyo tabia mana ananiumiza mm na kunizalilisha pia,na mwisho nikisha msamehe sitokaa nimuulize tena juu ya hilo wala kumnunia ndani ya house....mpaka atajiuliza mara mbilimbili na sizan atarudia tena maishani kucheat
Wow...another wise lady!
y dont i get PM from such ladies as these!?? CUTE...wish u a happy life, duh! (Ila yametoka moyoni kweli...)
Last edited by a moderator: