Hivi ukigundua mumeo anaku-cheat na inajulikana public, utafanyaje?

mm nitamsamehe kwakua ni mume wangu na nitatafuta uvumbuzi wa why anicheat then nitajirekebisha nilikokosea,kama ni hulka yake nitajaribu kumuelewesha ili aweze kuiacha iyo tabia mana ananiumiza mm na kunizalilisha pia,na mwisho nikisha msamehe sitokaa nimuulize tena juu ya hilo wala kumnunia ndani ya house....mpaka atajiuliza mara mbilimbili na sizan atarudia tena maishani kucheat

Wow...another wise lady!
y dont i get PM from such ladies as these!?? CUTE...wish u a happy life, duh! (Ila yametoka moyoni kweli...)
 
Last edited by a moderator:
bidada mtoa mada naomba nikwambie hivi kucheat kwa mumeo na kujulikana hadharani siyo mwisho wa maisha hata kidogo, wala haisimamishi sekunde moja katka saa. so life goes on. ukishalijua hili akilini mwako na ukijua ya kwamba ni tabia yake ndio maana imeonekana hadharani na pengine yawezekana ikawa inamuumiza au la fanya hivi.

muombe sana mungu akupe amani na furaha japo ni ngumu kuipata lakin hii utaipata kwa kuweka dharau juu kila anacho kifanya na pia usitake kabisa kusikia the rest of the stories. hii itakupa amani sana nafsi ili uweze kutimiza wajibu wako wa ndani kama mke kama ntakavyoongea hapa chini:-

wewe jiangalie upya mamii katika kila eneo lako kisha jipange upya. timiza wajibu wako kama mama ndani ya nyumba in such a way that asikukute na kosa la namna yeyote ile,menu ndani fresh, house cleaned, washings and ironing ziko ok, kids wako ok.

ukishavisimamia hivyo vizuri kaabisa kwa uaminifu, the next thing rudi kwako jipige pamba za nguvu, kila siku uwe kama malkia humo ndani, uamkapo haijulikani wala ulalapo pia haijulikani.Pendeza sana kila siku atleast uvae zile nguo ambazo zinakutoa uwe malkia haswa haswa. Na penyewe hapo usilumbane naye uwe kimya weka na mungu akusaidie usimuulize ila aone matendo yako tu kuwa yamebadilika.

ukiyaweza hayo basi fanya hivi, tafuta njia ya kuongeza kipato chako hata kama utafunga maji na juice uuze ili ukwepe kumuomba omba hela. hii itakupa amani sana na itamfanya aone aibu sana. Siku huna pika kilichopo na akiuliza mwambie wazi kuwa hukuwa na alternative nyingine. na penyewe hapo uwe na amani yako moyoni.

kama waweza basi uwe unapenda kutoka muda mwingi ujichanganye na watu labda harusin kuona wagonjwa na muda mwingine toka na wanao yaani mpaka hapo nakufundisha jinsi ya kumpaunish kwa isolation. ukimudu hapo rafiki nakuambia atarudi tu ndani. Njia hii naiamni sana katika kurudisha mtu wa namna hiyo manake imefanya kazi kwa watu walioitumia. Pia jua kuwa ndoa kama hamjaish miaka zaid ya 7 utapita magumu sana so lazima ujue utavuka vipi and beleive me or not mwanaume bila kufika miaka 40 hawez kuwa na kaili iliyotulia na hapa ntakosolewa sana lkn ndio ukweli hivyo lazima ujue hiyo ni changamoto.

pia sasa jua kabisa kwenye ndoa yeyote matatizo makubwa yanapotokea akina mama wanakuwaga ni wahanga sana na pia kwasababau ya kuhamalika huwa wanashindwa jinsi ya kufanya.

matokeo ya ndoa zinazopata shida as for me na siyo sheria lakini huwaga naona njia 3 ndizo lazima ziwe ni suluhu
1)Reconciliation- na hii waweza ifanya kwa njia niliyokuambia hapo juu siyo laizma watu wakae wajadili maswala ya familia yako while you can work on it.

2)separation - hapa yalazimika kupeana muda kwanza kila mmoja akae mbali na mwenzake halafu hatua hii itapelekea wazazi kuingilia kati kuwaleta pamoja.during separation mtu huweza kubadilika na kuvaa utu mpya so bado yaweza kuwa ni njia ila pia yaweza kusababisha mtandao msipokuwa makini

3)divorce- binafsi huwa hii siipendelei sana ila when needs arises mtu unakaa pembeni kuepusha msongamano. na haii haitahitaji mwanakamati wa kujadili tena manake umesha fikia mwisho wa kila kitu.

naona niishie hapo nisikuchoshe kusoma ma dia. kama hujaelewa uliza.
 
Mmmh dada angu KAUNGA,haya nitamkanya shemeji yetu asi-cheat kama ni hivyo.But i trust him,he is a decent man in every sense

Ha ha ha, kumbe umechungulia huku; hata nami namuamini hawezi nitenda kihivyo. Ila usisahau kumkumbusha, si eti kaka yangu mpenzi eeh!
 
wengine wanacheat si kwa sababu wametibuliwa na wake zao bali ni hulka zao tu na spirit ya uzinzi, hakuna zaidi ya hapo...kama unampenda mkeo hata akikukosea vp unatakiwa kukaa naye mrekebishe, ili maelewano yatawale, ndio mtasonga mbele vzr...acheni hulka za ajabu ajabu jamani!
vumulia, take your tym usijefanya desicions za ajabu, ni mume wako, piga magoti muombee aliyewaunganisha, atayamaliza! ni msalaba wako hivyo kuachana si solution, rekebisha unapodhani ulikosea mpaka ikabidi atoke nje, mueleze kwa upendo kuwa unaumia na unatamani arudi kwako tena, akupe nafasi nyingine tena! my opinion tu!
 
Ha ha ha, kumbe umechungulia huku; hata nami namuamini hawezi nitenda kihivyo. Ila usisahau kumkumbusha, si eti kaka yangu mpenzi eeh!

As always dadaangu wala usikonde,ila huyu EROTICA na hizi tread zake zaweza mchanganya shemeji yetu jamani
 
Aisee nikigundua mume wangu ananicheat, nitamyima haki yake.

Ukimnyima haki yake, atahamia huko ulikomkuta anakucheat and ndio bye-bye kabisa, ila issue kama hizi Simbachawene anaweza kukupa ushauri mzuri, maana nina aamini kwa sasa kitakuwa kimenuka na moto unawaka kwa mkewe.
 
vumulia, take your tym usijefanya desicions za ajabu, ni mume wako, piga magoti muombee aliyewaunganisha, atayamaliza! ni msalaba wako hivyo kuachana si solution, rekebisha unapodhani ulikosea mpaka ikabidi atoke nje, mueleze kwa upendo kuwa unaumia na unatamani arudi kwako tena, akupe nafasi nyingine tena! my opinion tu!
cacico,una akili nyingi sana wewe.
 
Last edited by a moderator:
Wow...another wise lady!
y dont i get PM from such ladies as these!?? CUTE...wish u a happy life, duh! (Ila yametoka moyoni kweli...)

Yanatoka ktk mtima wa moyo wangu kabisa
 
Last edited by a moderator:
mm nitamsamehe kwakua ni mume wangu na nitatafuta uvumbuzi wa why anicheat then nitajirekebisha nilikokosea,kama ni hulka yake nitajaribu kumuelewesha ili aweze kuiacha iyo tabia mana ananiumiza mm na kunizalilisha pia,na mwisho nikisha msamehe sitokaa nimuulize tena juu ya hilo wala kumnunia ndani ya house....mpaka atajiuliza mara mbilimbili na sizan atarudia tena maishani kucheat

hakika wewe ni Cute wa ukweli!
 
ila kusalitiwa kunauma jamani nyie acheni kusikieni kwa mwenzako kusikufike....kama huna busara na hekima na mungu pia waweza fanya maamuzi ya ajabu sana...mi naona na maombi yanahitajika sana kumuombea mwenz wako mungu awaongoze na kuwaweka mbali na vishaishi...
 
Back
Top Bottom