Nadhani wadanganyika mlisikia wachuuzi wa petroli juzi walipoipa serikali masaa 24 kufanya wanavyotaka wenyewe la sivyo wataona chamte makuni, ikitokea na wamachinga pia wakaipa serikali masaa 24,madadapoa nao wakatoa 24 zao,majambazi nao wakatoa 24 zao hapa kuna serikali kweli ? hivi tumefikia hatua ya serikali kutishiwa amani kweli ?