Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Hivi Tigo modernmni ya utapeli?Nimejaribu kushawishika kunua moderm ya Tigo kwa ajili ya NET. Lakn imekuwa very slow ukitaka kufungua net hata ukifungua google, yahoo na zile simple website.Kabla ya kununua walinishwishi vya kutosha. Nilipanga kwenda Voda, zain na ZantelLkn nilipigwa siasa kunua Tigo na wahudumu wake.Jee huu si utapeli kutuuzia bad poor performance service