mmzalendo
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 165
- 1
Kila kukicha uwa najiuliza shwali vipi Tanzania nini tunachowez kufanya kwa ufanisi?
maana sasa inakuwa kama tunaishi kwa dripu za wahisani, maana hapo juzi rais katika
hotuba yake anasema mataifa makubwa yakiyumba na sisi tunayumba lakini hii ina
ukweli kiasi gani na kama kuna ukweli ina maana uchumi wetu sisi unakuwa controlled kwa
remote? na kama ni hivyo kuna haja gani ya kuwa na hiyo tume ya mipango maana wanachofanya
hakisaidii uchumi wetu ila yanayotokea nje?
Tukipewa mikataba kusaini ndio kabisa madudu hasara kwa taifa, kwa sasa karibu mikataba
yote ya serikali ina kasoro au inatuumiwa kuzungukwa na rushwa
tukipewa kuendesha viwanda, vinakufa kesho yeka
tukipewa mabanki pesa inahamishwa tu kama alivyotufanya balari
bandani ndio hiyo hakuna kinachofanyika
reli ndio usisema huduma zake za kubeep
mahospitalini hakuna hata palacentamo
migodi tunayo faidi hatuioni labda hayo mashimo tutafuga panya na njoka wa utalii
mbuga za wanyama kila sehemu lakini ziko hoi hakuna vitu vya kuvuti watalii
sijui nini tunaweza kwa kweli maana hata siasa naona nazo tumeanza kushindwa kidogo kidogo
ni bunduki na kutishana tu siku hizi
umeme ndio tumesha sahau sijui wanasubilia nini kuja kuchukuwa haya manyaya yao mitaani au tuyafanye antena
hakunatunachoweza mimi sijui nini labda mmmmmm maana ukimwi umezagaa kila kona mpaka
kwa watoto wa shule, hii nadhani tunaweza lakini sijui kama tunawashinda kwa bibi
source www.lifeofmshaba.com
maana sasa inakuwa kama tunaishi kwa dripu za wahisani, maana hapo juzi rais katika
hotuba yake anasema mataifa makubwa yakiyumba na sisi tunayumba lakini hii ina
ukweli kiasi gani na kama kuna ukweli ina maana uchumi wetu sisi unakuwa controlled kwa
remote? na kama ni hivyo kuna haja gani ya kuwa na hiyo tume ya mipango maana wanachofanya
hakisaidii uchumi wetu ila yanayotokea nje?
Tukipewa mikataba kusaini ndio kabisa madudu hasara kwa taifa, kwa sasa karibu mikataba
yote ya serikali ina kasoro au inatuumiwa kuzungukwa na rushwa
tukipewa kuendesha viwanda, vinakufa kesho yeka
tukipewa mabanki pesa inahamishwa tu kama alivyotufanya balari
bandani ndio hiyo hakuna kinachofanyika
reli ndio usisema huduma zake za kubeep
mahospitalini hakuna hata palacentamo
migodi tunayo faidi hatuioni labda hayo mashimo tutafuga panya na njoka wa utalii
mbuga za wanyama kila sehemu lakini ziko hoi hakuna vitu vya kuvuti watalii
sijui nini tunaweza kwa kweli maana hata siasa naona nazo tumeanza kushindwa kidogo kidogo
ni bunduki na kutishana tu siku hizi
umeme ndio tumesha sahau sijui wanasubilia nini kuja kuchukuwa haya manyaya yao mitaani au tuyafanye antena
hakunatunachoweza mimi sijui nini labda mmmmmm maana ukimwi umezagaa kila kona mpaka
kwa watoto wa shule, hii nadhani tunaweza lakini sijui kama tunawashinda kwa bibi
source www.lifeofmshaba.com