Hivi Tanzania nini tunachoweza?

mmzalendo

Senior Member
Nov 1, 2010
165
1
Kila kukicha uwa najiuliza shwali vipi Tanzania nini tunachowez kufanya kwa ufanisi?
maana sasa inakuwa kama tunaishi kwa dripu za wahisani, maana hapo juzi rais katika
hotuba yake anasema mataifa makubwa yakiyumba na sisi tunayumba lakini hii ina

ukweli kiasi gani na kama kuna ukweli ina maana uchumi wetu sisi unakuwa controlled kwa
remote? na kama ni hivyo kuna haja gani ya kuwa na hiyo tume ya mipango maana wanachofanya
hakisaidii uchumi wetu ila yanayotokea nje?

Tukipewa mikataba kusaini ndio kabisa madudu hasara kwa taifa, kwa sasa karibu mikataba
yote ya serikali ina kasoro au inatuumiwa kuzungukwa na rushwa

tukipewa kuendesha viwanda, vinakufa kesho yeka
tukipewa mabanki pesa inahamishwa tu kama alivyotufanya balari
bandani ndio hiyo hakuna kinachofanyika
reli ndio usisema huduma zake za kubeep
mahospitalini hakuna hata palacentamo
migodi tunayo faidi hatuioni labda hayo mashimo tutafuga panya na njoka wa utalii
mbuga za wanyama kila sehemu lakini ziko hoi hakuna vitu vya kuvuti watalii

sijui nini tunaweza kwa kweli maana hata siasa naona nazo tumeanza kushindwa kidogo kidogo
ni bunduki na kutishana tu siku hizi
umeme ndio tumesha sahau sijui wanasubilia nini kuja kuchukuwa haya manyaya yao mitaani au tuyafanye antena

hakunatunachoweza mimi sijui nini labda mmmmmm maana ukimwi umezagaa kila kona mpaka
kwa watoto wa shule, hii nadhani tunaweza lakini sijui kama tunawashinda kwa bibi

source www.lifeofmshaba.com
 
Kila kukicha uwa najiuliza shwali vipi Tanzania nini tunachowez kufanya kwa ufanisi?
maana sasa inakuwa kama tunaishi kwa dripu za wahisani, maana hapo juzi rais katika
hotuba yake anasema mataifa makubwa yakiyumba na sisi tunayumba lakini hii ina

ukweli kiasi gani na kama kuna ukweli ina maana uchumi wetu sisi unakuwa controlled kwa
remote? na kama ni hivyo kuna haja gani ya kuwa na hiyo tume ya mipango maana wanachofanya
hakisaidii uchumi wetu ila yanayotokea nje?

Tukipewa mikataba kusaini ndio kabisa madudu hasara kwa taifa, kwa sasa karibu mikataba
yote ya serikali ina kasoro au inatuumiwa kuzungukwa na rushwa

tukipewa kuendesha viwanda, vinakufa kesho yeka
tukipewa mabanki pesa inahamishwa tu kama alivyotufanya balari
bandani ndio hiyo hakuna kinachofanyika
reli ndio usisema huduma zake za kubeep
mahospitalini hakuna hata palacentamo
migodi tunayo faidi hatuioni labda hayo mashimo tutafuga panya na njoka wa utalii
mbuga za wanyama kila sehemu lakini ziko hoi hakuna vitu vya kuvuti watalii

sijui nini tunaweza kwa kweli maana hata siasa naona nazo tumeanza kushindwa kidogo kidogo
ni bunduki na kutishana tu siku hizi
umeme ndio tumesha sahau sijui wanasubilia nini kuja kuchukuwa haya manyaya yao mitaani au tuyafanye antena

hakunatunachoweza mimi sijui nini labda mmmmmm maana ukimwi umezagaa kila kona mpaka
kwa watoto wa shule, hii nadhani tunaweza lakini sijui kama tunawashinda kwa bibi

source www.lifeofmshaba.com

Mkuu kuna baadhi ya mambo ni lazima tukubaliane na hali halisi. Unaweza kusikia wanasiasa wanaongopea watu, lakini hali halisi ni kwamba tumeshindwa ku-manage nchi yetu. Mfano mzuri tu ni umeme, serikali toka imeingia madarakani miaka mitano iliopita, imeweza ku-strengthern ufisadi, favouritism, udini na ubabashaji, na imeweza kuweaken growth na ku-promote taabu kwa wananchi.

Tatizo ni kubwa ni kwamba lawama nyingi zinaenda kwa rais wakati rais tunasheria na hatujafanya lolote kubwa kulalamikia hali hiyo.
 
Tupo vizuri katika kulalamika,kunung'unika na kulaumu bila kuonesha kwa vitendo kuwa ni kipi tunakipinga/tunakichukia.
 
Mi naona nikujibu kwa kutumia majibu ya baba wa taifa ambapo aliongelea kuhusu uongozi

 
Last edited by a moderator:
Kila kukicha uwa najiuliza shwali vipi Tanzania nini tunachowez kufanya kwa ufanisi?
maana sasa inakuwa kama tunaishi kwa dripu za wahisani, maana hapo juzi rais katika
hotuba yake anasema mataifa makubwa yakiyumba na sisi tunayumba lakini hii ina

ukweli kiasi gani na kama kuna ukweli ina maana uchumi wetu sisi unakuwa controlled kwa
remote? na kama ni hivyo kuna haja gani ya kuwa na hiyo tume ya mipango maana wanachofanya
hakisaidii uchumi wetu ila yanayotokea nje?

Tukipewa mikataba kusaini ndio kabisa madudu hasara kwa taifa, kwa sasa karibu mikataba
yote ya serikali ina kasoro au inatuumiwa kuzungukwa na rushwa

tukipewa kuendesha viwanda, vinakufa kesho yeka
tukipewa mabanki pesa inahamishwa tu kama alivyotufanya balari
bandani ndio hiyo hakuna kinachofanyika
reli ndio usisema huduma zake za kubeep
mahospitalini hakuna hata palacentamo
migodi tunayo faidi hatuioni labda hayo mashimo tutafuga panya na njoka wa utalii
mbuga za wanyama kila sehemu lakini ziko hoi hakuna vitu vya kuvuti watalii

sijui nini tunaweza kwa kweli maana hata siasa naona nazo tumeanza kushindwa kidogo kidogo
ni bunduki na kutishana tu siku hizi
umeme ndio tumesha sahau sijui wanasubilia nini kuja kuchukuwa haya manyaya yao mitaani au tuyafanye antena

hakunatunachoweza mimi sijui nini labda mmmmmm maana ukimwi umezagaa kila kona mpaka
kwa watoto wa shule, hii nadhani tunaweza lakini sijui kama tunawashinda kwa bibi

source www.lifeofmshaba.com

tunaweza kufanya yote kama tukiamua!!!!
 
Kwa sasa kweli yote yametushida ila ukweli ni kwamba tunaweza kila kitu. Tatizo kubwa ninaloliona ni ubinafsi hasa kwa viongozi wetu japo hata kwa wananchi...ila zaidi kwa serikali ikiwa kama injini ya nchi. Maendeleo hayaji kwa miujiza something should be done. Tukiamua tunaweza na uzuri resources za kutosha tunazo. Ubinafsi ni tatizo kubwa maana unakuta kila mtu anajifikiria mwenyewe na familia yake na zaidi ya hapo kutoridhika na ndo maana hata ufisadi umetawala Tanzania sasa. Uzalendo hakuna. viongozi tunawapa kura hawafanyi chochote zaidi ya kuchukua posho na hiyo mipesa ya mashangingi ambayo ingeweza kutekeleza miradi kibao.....ila tukikumbuka mafungu yote hayo ni madeni kwa asilimia kubwa. Raisi kasema uchumi wa mataifa makubwa ukiyumba nasi chali....ni kweli lakini twajitakia. Hivi ukiwa na uwezo wa kula ugali maharage utaenda kukopa ili ule wali kuku?? Kama Tanzania ndo tutaendelea hivi basi hatuwezi kutoka na vizazi vijavyo vitakuwa kwenye hali mbaya zaidi. Naungana na wadau wengine hapo juu. Kila sekta inasumbua na hakuna mipango ya kueleweka ya kutoa matumaini. Ili tusonge mbele na tuweze kujitegemea lazima kwanza tuamue. Hebu tuoneni kwa mfano wachina wanavyosonga. Siyo miujiza bali sera zinazotekelezeka na zinasimamiwa ipasavyo. then kila mtu anafanya kazi vilivyo. Sisi imebaki blablaa tu. We really need changes. Tukiendelea kuwa na viongozi wababaishazi, wasimamizi wababaishaji n.k. hatuwezi kusonga mbele hata kidogo. Miradi mingi ya pesa nyingi ambazo ni mikopo inaishia hewani kwa kuwa wasimamizi wanataka wawe na vitambi na ndo focus yao kubwa. Tujirekebishe tuendelee. Hakuna asiyeona tunafanya yasiyofaa hata hao viongozi wanajua ila kwa vile wamejawa na ubinafsi ndo hivo. Wana bahati kwanza wametembea nchi za watu wakaona vinavyofanyika. Ni mtizamo!! We need to change our attitude!!:decision:
 
TUKIAMUA TUNAWEZA TENA SANA.!!!!!!!!!!!!!!!
ILA TUNAWEZA KUWA HATUJUI KUWA TUNAWEZA!
KUTOKANA NA HILO BASI ''' viongozi wetu na watendaji wengi wa serikali iliyo madarakani wanashindwa ku analyse fursa za kuanza nazo.
Kwa sasa mambo makubwa tunayoweza kusema tunaweza au kujisifia kwayo ni
1. Kuimarisha UFISADI hili tumefanikiwa sana
2. Kugawiana Kazi kwa upendeleo Hilo nalo ni sehemu ya maisha
3. Kueneza mbegu ya udini hilo nalo halipo nyuma
4.Kula mali ya Umma
5. KUtofuata katiba
6. Kuchakachua kila suala!
 
Back
Top Bottom