ikiwa mtu anaingia tz kwa mara ya kwanza unaweza akasea hakuna wanaojua sheria,tunakuwa fooled ktk mengi.watu wanakuwa charged wrongly ili watoke mfano kesi ya aliyekuwa mkuu wa polisi kanda ..... bwana zo.... eti alichajiwa first degree murder, haya tafsiri yake m2 awe kwenye eneo la tukio sasa zo... alikuwepo? au it was calculated ili atokee hapo?haya sasa kuna ishu ya utakasaji wa pesa je kuna kifungu ktk sheria zetu kinachohusu mambo ya utakasaji fedha na je tafsiri yake ikoje?nadhani labda hawa wanaofanya kazi za kisheria serikalini ni wale walioshindwa shule au incomp? au ndio tunarudi kwenye difinition ya what is law?nchi imefika hapa pabaya ni kwa sababu yenu wanataaluma ya sheria mliolala hamuoni mikataba mibovu,wahalifu wanazurula mitaani,violation ya mambo kibao. i dont know who is fooling who?