Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,184
- 259
Pamoja na kuwa secta ya ICT na mawasiliano kwa ujumla wake Kuwa inakua kwa kasi ya aina yake bado taarifa nyingi ambazo kimsingi zilipaswa kuwa open kwa pupblic bado ziko undercover!
Nimekuwa kwa mfano nikojiuliza hivi Tanzania mpaka sasa kuna motor vehicles ngapi mpaka sasa!? just being curiuos (usiniulize zita nisaidia nini) ni kiu tuu ya taarifa na kupata uelewa!
NHow do we differentiate hizi no za magari na pikipiki...? labda gari anaweza kuchukua na ya pikipiki akafanya uhalifu akasepa..?
cc: CLACET
Nimekuwa kwa mfano nikojiuliza hivi Tanzania mpaka sasa kuna motor vehicles ngapi mpaka sasa!? just being curiuos (usiniulize zita nisaidia nini) ni kiu tuu ya taarifa na kupata uelewa!
NHow do we differentiate hizi no za magari na pikipiki...? labda gari anaweza kuchukua na ya pikipiki akafanya uhalifu akasepa..?
cc: CLACET