kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Huyu jamaa nimemkumbuka na kile kibao chake cha VITUKO uswahili,
"Uswahilini ukioga mchana utaulizwa, unakwenda wapi"
"Uswahilini mtu ananawa miguu wakati miguuni hajavaa kandambili,akimaliza tu anakanyaga chini"
Huyu dogo alikuwa na kipaji sana sijui yuko wapi?ⁿ
"Uswahilini ukioga mchana utaulizwa, unakwenda wapi"
"Uswahilini mtu ananawa miguu wakati miguuni hajavaa kandambili,akimaliza tu anakanyaga chini"
Huyu dogo alikuwa na kipaji sana sijui yuko wapi?ⁿ