mchukiaufisadi
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 546
- 193
Wakuu wa JF
Nina wasiwasi na Social Security Reguratory Authority (SSRA) kama itakuwa inaitendea haki mifuko mingine maana imehamisha wakurugenzi toka PPF. Tanzania tuna mifuko mingi kama NSSF, PSPF, GEPF, LAPF, NHIF, ZSSF na PPF Fisadi.
Angalia hali ilivyo:
1. Mkurugenzi Mkuu, Katokea PPF kama Investment Manager kapitia Stanbic Bank
2. Mkurugenzi wa Ukaguzi (Director of Internal Audit), Katokea PPF kama Audit manager
3. Director of IT, Katokea PPF kama Director of IT (Huyu ni Mganda)
4. Director of Public Relations, Katokea PPF alikuwa kama PR Manager.
MENGINE:
1. Director of Operations katoka naye Stanbic Bank. Hana hata background ya Social security. Ina maana alikosa kutoka mifuko mingine yote?
2. Juma Mhimbi: Board member alikuwa PPF kama Director of Finance kabla ya kuondolewa kwa ubadhirifu, na bado ana kesi na PCCB. Yupo nje kwa dhamana. Serikari imekosa waadilifu hadi kutumia watu wenye kesi mahakamani? Nasika hata NBAA nao wanamtumia kwenye bodi zao
Nina wasiwasi na Social Security Reguratory Authority (SSRA) kama itakuwa inaitendea haki mifuko mingine maana imehamisha wakurugenzi toka PPF. Tanzania tuna mifuko mingi kama NSSF, PSPF, GEPF, LAPF, NHIF, ZSSF na PPF Fisadi.
Angalia hali ilivyo:
1. Mkurugenzi Mkuu, Katokea PPF kama Investment Manager kapitia Stanbic Bank
2. Mkurugenzi wa Ukaguzi (Director of Internal Audit), Katokea PPF kama Audit manager
3. Director of IT, Katokea PPF kama Director of IT (Huyu ni Mganda)
4. Director of Public Relations, Katokea PPF alikuwa kama PR Manager.
MENGINE:
1. Director of Operations katoka naye Stanbic Bank. Hana hata background ya Social security. Ina maana alikosa kutoka mifuko mingine yote?
2. Juma Mhimbi: Board member alikuwa PPF kama Director of Finance kabla ya kuondolewa kwa ubadhirifu, na bado ana kesi na PCCB. Yupo nje kwa dhamana. Serikari imekosa waadilifu hadi kutumia watu wenye kesi mahakamani? Nasika hata NBAA nao wanamtumia kwenye bodi zao