engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
wanaJF nauliza nipate kujuwa kama spika wa bunge la sasa bi Anne makinda kama amepewa ulinzi,kwani ktk picha hii hapa chini namwona mwana mama amejiimalisha vyema ktk style y aulinzi vile
Asante kwa kutufungua macho kumbe Pm ni kidampa mbele ya speaker!Unataka asiwe na ulinzi, au una lako jambo? Kumbuka kwa mujibu wa katiba Spika ni wa 3 katika kukaimu uraisi iwapo Raisi hatakuwepo au makamu wake.