Yaani ume join December 2012 post yako ya kwanza March 2013 duh kazi ipo.........Hodi wanajamvi, Hii ni post yangu ya kwanza na naomba niulize hivi,
Kwa nini watanzania tunapenda kutumia majina ya bandia?
Maana nimechunguza hata humu wengi wetu tunatumia majina ya bandia, Hivi tunamuogopa nani?