Hivi sisi watanzania ni binadamu original?

Hivi sisi watanzania ni binadamu original?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,178
Reaction score
162,659
Kwa yanayoendelea hapa nchini na jinsi umma wa watanzania unavyochukulia mambo haya, ,nina swali moja tu linalouliza kama ifuatavyo.

Hivi sisi watanzania ni binadamu "original" kama walivyo watu wa mataifa mengine au sisi ni binadamu "fake"?

Kabla hujasema nafanya utani,think twice first.
 
mtafuteni Nyerere awakomboe, maana wengine wanaamini alikuwa mtakatifu....teh teh teh!!!!
 
Nadhani hili swali linawahusu zaidi hawa:

Mtela Mwampamba
Juliana Shonza
FaizaFoxy
Msalani
Lizabon
Ritz
Pasco & Lowasa
Nape Nnauye
Anna Tibaijuka

na manazi wote wa MAGAMBA.
 
Kwa yanayoendelea hapa nchini na jinsi umma wa watanzania unavyochukulia mambo haya, ,nina swali moja tu linalouliza kama ifuatavyo.

Hivi sisi watanzania ni binadamu "original" kama walivyo watu wa mataifa mengine au sisi ni binadamu "fake"?

Kabla hujasema nafanya utani,think twice first.

najua hufanyi utani. you have asked a very valid question.

ila mimi naanza na Watanzania walio kwenye hizi keyboard, ukiwamo wewe na mimi.

soma signature yangu. tuanzie hapo...
 
najua hufanyi utani. you have asked a very valid question.

ila mimi naanza na Watanzania walio kwenye hizi keyboard, ukiwamo wewe na mimi.

soma signature yangu. tuanzie hapo...
Nimekusoma makuu.

Unajua vizazi vijavyo vitakuja kutulaumu sana sisi watanzania wa Leo Kwa kuwaacha wataala wahujumu nchi hii maana sijui watarithi nini wao!
 
Back
Top Bottom