Sasa sisi wenye vipato tutaishije sasa.
Siku za nyuma hatukuwa na pesa wala gari tulipigwa vibuti kila wakati na roho zetu ziliuma sana.
Hatukukata tamaa tukahangaika sana na sasa Mungu katujalia leo pesa ya mboga sio shida na tena mnadai hatufai sasa tufanye nini sasa??
Hii dunia haiko fair kbs kama ndio hivi
Siku za nyuma hatukuwa na pesa wala gari tulipigwa vibuti kila wakati na roho zetu ziliuma sana.
Hatukukata tamaa tukahangaika sana na sasa Mungu katujalia leo pesa ya mboga sio shida na tena mnadai hatufai sasa tufanye nini sasa??
Hii dunia haiko fair kbs kama ndio hivi