brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,300
Hahahaa mleta mada kaleta kwa huruma hiii topic... Nyiee endeleeni kuona nyumba magari etc ndio vinaoa.....Muangalie na tabia zenu pia hovyo hovyo umechezea wadada hapo mtaani,ujana wako umekula sana wadada utampata nanii wa kumuoa,na hata ukimpata ndoa haidumu
Mungu tu anipe wa kufanana na mimi lakini sio hawa magubegube wenye stress za kutaka kuoa
Mtu umezalisha wanawake watatu kweli?na bado unatafuta kuoa asalalee.
Mungu tu anipe wa kufanana na mimi lakini sio hawa magubegube wenye stress za kutaka kuoa
Mtu umezalisha wanawake watatu kweli?na bado unatafuta kuoa asalalee.