Hivi si mliambiwa muache kujilinganisha na nchi ambazo hazitoi takwimu za kirusi!

Kiukweli ingawaji mimi sikubali nzi wa kijana ila Magufuri kwa jinsi alivyoweka ujasiri juu ya corona , aisee ni mfano wa kuigwa tofauti na hapo Tz ingekuwa uchumi wake uko taabani.
 
Back
Top Bottom