babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,217
- 27,732
Mbona hamsikii
Naona hadi viongozi wenu akili zao zimeanza kurudi.
Naona hadi viongozi wenu akili zao zimeanza kurudi.
JPM ni nabiiMbona hamsikii
Naona hadi viongozi wenu akili zao zimeanza kurudi.
Mbona hamsikii
Naona hadi viongozi wenu akili zao zimeanza kurudi.
Kweli mkuu! Lakini wanasaccos hawapendi kusikia kitu kama hiki!!JPM ni nabii
Lakini nyumbu mlikua kama vichaa na mashetani, Nakumbuka mlikua mkimtukana mpaka Mungu.Kiukweli ingawaji mimi sikubali nzi wa kijana ila Magufuri kwa jinsi alivyoweka ujasiri juu ya corona , aisee ni mfano wa kuigwa tofauti na hapo Tz ingekuwa uchumi wake uko taabani.
Kwani we unajua kila mtu ni Chadema aisee mbona unawaza kwa kutumia makalio hivi mkuu...Lakini nyumbu mlikua kama vichaa na mashetani, Nakumbuka mlikua mkimtukana mpaka Mungu.
We unamjua wa kumsujudia we kichwa maji..Hawa wapuuzi walikua wakimchafua sana Magufuli na watanzania, leo bila kujijua wanamsafisha na kumpamba, kweli dunia duara
Unaemtukana leo, kesho utatumia nguvu hizo hizo kumsujudia
Walimtukana Lowasa alipokua CCM, alipohamia CDM wakamsafishaHawa wapuuzi walikua wakimchafua sana Magufuli na watanzania, leo bila kujijua wanamsafisha na kumpamba, kweli dunia duara
Unaemtukana leo, kesho utatumia nguvu hizo hizo kumsujudia
Hiyo lugha ni ya chama Fulani Cha upinzani TZKwani we unajua kila mtu ni Chadema aisee mbona unawaza kwa kutumia makalio hivi mkuu...