Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,828
- 5,969
Umechelewa sana kulijua hiloNaanza kuamini kuwa wenye akili ni wawili tu
Umechelewa sana kulijua hiloNaanza kuamini kuwa wenye akili ni wawili tu
Hawa ni zaidi ya mapopoSimba walipotolewa na Ud Songo pamoja na timu ya botswana kwa kanuni za magoli ya.ugenini jamaa zetu walichekelea Sana. Lakini wao walipokosa kombe kwa kanuni ya goli la ugenimi wakaanza kulalamika Mara Sheria haifai, UEFA washaifuta kwa kifupi hawaeleweki
Ifutwe kwasababu Yanga imenyimwa goli la offside?Labda niulize wataalamu wa soka hii sheria ikifutwa madhara yake yatakuwa ni nini?
Na msingi wa hii sheria ni nini?
Hivi hata kucheza offside trick sio ushahidi kuwa sometimes hii sheria inatumika vibaya na ni sababu nyingine ya hii sheria kufutwa?