Luca Paguro
JF-Expert Member
- Mar 26, 2023
- 477
- 1,068
Wewe Samia na wenzako hebu kuweni na utu. Huu ushetani wenu umefikia kiwango cha A+
Hebu kuweni na roho ya ubinadamu hata kidogo tu.
Sisi Watanzania tuliwakosea nini mpaka mnatumia ubabe kutuongoza?
Kwa nini hautaki kukiri kuwa ulikosea? Kwa nini hutaki kujiuzulu na huku Watanzania hatukutaki we mama? Mara ngapi tuwaambie hatutaki kuongozwa na wauaji?
Hivi wenzetu nyie mmeumbwaje, mna chembe hata kidogo ya huruma nyie?
What did we do to deserve a murderer like you to be our president? Kwa nini unakuwa muuaji we mama? Unatuonaje sisi Watanzania?
Yani kwa nini unakuwa na roho mbaya hivi, hii roho ya chuki na mauaji umeitoa wapi we mama?
Sisi Watanzania na kuuana wapi na wapi? Mbona mnatuletea mambo machafu ambayo hatujayazoea. Hivi hujawahi hata kujutia kwa watu wasio na hatia mliowaua October 29? Mbona unakosa utu we mama.
Unahitaji nini kuelewa kuwa wananchi wamekukataa? Mbona ni king'ang'anizi hivi
Si uachie madaraka? Kwani unasubiri nini, hivi mnajua bado tuna machungu na mambo mliofanya, cha kushangaza bado mnaendelea kuyafanya. Unatutafuta nini?
Wewe una nini kinachofanya ujione una mamlaka ya kutuua Watanzania vile unavyotaka? Kwani wewe ndio umetuleta duniani? Hii nchi ni wewe ndio uliiumba?
Unajua maumivu tunayopitia ? Angeuliwa Wanu au Abduli ungejisikiaje? Unadhani uliowaua hawana ndugu, au ndugu zao hawana hisia?
Baada ya kuona machafuko ulishindwa nini kujiuzulu. Kwa nini uko hivyo, umekulia ulimwengu gani wewe hadi unakuwa na roho mbaya kiasi hiki?
Hebu kuweni na roho ya ubinadamu hata kidogo tu.
Sisi Watanzania tuliwakosea nini mpaka mnatumia ubabe kutuongoza?
Kwa nini hautaki kukiri kuwa ulikosea? Kwa nini hutaki kujiuzulu na huku Watanzania hatukutaki we mama? Mara ngapi tuwaambie hatutaki kuongozwa na wauaji?
Hivi wenzetu nyie mmeumbwaje, mna chembe hata kidogo ya huruma nyie?
What did we do to deserve a murderer like you to be our president? Kwa nini unakuwa muuaji we mama? Unatuonaje sisi Watanzania?
Yani kwa nini unakuwa na roho mbaya hivi, hii roho ya chuki na mauaji umeitoa wapi we mama?
Sisi Watanzania na kuuana wapi na wapi? Mbona mnatuletea mambo machafu ambayo hatujayazoea. Hivi hujawahi hata kujutia kwa watu wasio na hatia mliowaua October 29? Mbona unakosa utu we mama.
Unahitaji nini kuelewa kuwa wananchi wamekukataa? Mbona ni king'ang'anizi hivi
Si uachie madaraka? Kwani unasubiri nini, hivi mnajua bado tuna machungu na mambo mliofanya, cha kushangaza bado mnaendelea kuyafanya. Unatutafuta nini?
Wewe una nini kinachofanya ujione una mamlaka ya kutuua Watanzania vile unavyotaka? Kwani wewe ndio umetuleta duniani? Hii nchi ni wewe ndio uliiumba?
Unajua maumivu tunayopitia ? Angeuliwa Wanu au Abduli ungejisikiaje? Unadhani uliowaua hawana ndugu, au ndugu zao hawana hisia?
Baada ya kuona machafuko ulishindwa nini kujiuzulu. Kwa nini uko hivyo, umekulia ulimwengu gani wewe hadi unakuwa na roho mbaya kiasi hiki?