Hivi Robert Kisena ni nani?

Akiitwa Milanga. Mwanae Hamis Alison's Nsumba. Binti Yake akiitwa Johari alikuwa kisu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
chenge nyoka mwenye makengeza ulishawahi kumuona ? ndiyo huyo baba kila skendo yumo tena zile kubwa lakini hakamatiki ni mjanja sana kwenye mikataba yake anakuwemo lakini hakuna pa kumkamatia
Wakumkamata wapo ila wa kumfungulia mashtaka ndio HAKUNA.

...hit direct to the Ntonku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni msukuma kwa kabila , taarifa zinaonyesha kwamba alijipatia utajiri kwa kukwapua utajiri wa John Cheyo baada ya kupewa kusimamia biashara zake wakati cheyo alipobanwa na sheria alipogombea Urais 1995 , alimjuaje Cheyo hiyo ni hadithi nyingine
Hapo endeleza mkuu
 
Barafu
 
Hakuna hatua yeyote ambayo imekwishachukuliwa kuhusu ufisadi wa huyu jamaa pamoja na CAG aliyekuwepo kulieleza hilo. He is untouchable!
 
Mara mwishoalikuwa jela anankesi kama 9 hivi....yeye na maxmalipo ingawa namuona macmalipo ametoka .....sina uhakika Kisena kama yupo jela ama la
Kama mwenzake katoka inawezekana na yeye yupo uraiani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…