Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,705
- 96,700
Albert ana hela zamani tu, unajua baba ake alishakua boss mkubwa JW? na alikua muagizaji wa vitu Fulani hivi.....Uko sahihi mkuu.mi nilimaanisha hela anayo sasahivi,sio kabla ya kuwa mkwe wa mzee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa hakuwa kawaida upande wa Mpunga kama mnavyofikiria. Alikuwa vizuri na ni mpambanaji wa kitambo sana. Tena yeye ndio alimfundisha mishe mishe na kumuamsha Riz. Ulizaliwa watu wanaomfahamu watakueleza mkuu. Riz alikuwa kawaida kabla hajakutana na Albert. Albert ndio amemuweka Riz kwenye Ramani.
Baba yake Albert alikuwa Mkuu wa Majeshi Gen. Ernest M. Kiaro (1988-1994).
Alikua ana mpunga kama aliokua nao baada ya kumuia mtoto wa JK mkuu?Albert yuko vzr kitambo tu hata kabla jk ahajaingia luthuli ,ana historia nzuri tu ya kuvutia ,ni mganda mixer mkurya
Muislamu muda pia ,na ndio mfadhili wa radio Fulani hivi ya kiislamu ,ana apartment kadhaa mjini
Alihamia UK kwa sababu maalum
MTC | 101| [emoji769]
Huyo jamaa ana hela kitambo sana sema sio mtu wa makeke mengi. Ni mmoja wa vijana wa mjini waliokuwa na pesa miaka hiyo ya nyuma. Alikuwa boss wa kina Davis Mosha na wengine wengi. Watu wengi hawamfahamu kwa sababu jamaa ni mtu low key sana. Wengi mmemfahamu baada ya kumuoa Dr. Salama.
Asante sana mkuu kwa kuweka sawa taarifa. Hawa vijana wamemjua Albert juzi wanakuja kupotosha humu JF na kuandika habari za UONGO. Eti aliokotwa na Mzee Kiaro vitani uganda! Wakati ni mtoto wa Meja Kiaro aliyezaa na mganda.Albert yuko vzr kitambo tu hata kabla jk ahajaingia luthuli ,ana historia nzuri tu ya kuvutia ,ni mganda mixer mkurya
Muislamu muda pia ,na ndio mfadhili wa radio Fulani hivi ya kiislamu ,ana apartment kadhaa mjini
Alihamia UK kwa sababu maalum
MTC | 101| [emoji769]
Alikua ana mpunga kama aliokua nao baada ya kumuia mtoto wa JK mkuu?
Ndio maana nikaandika alikua na mpunga wa kawaida.
Kabisa mkuu. Hana makuu na mtu anajifanyia mambo yake kwa nafasi yake.Ni swala tano Sana ,mkimya na mpole mno
MTC | 101| [emoji769]
Aisee kwa mipunga hapa town alikua ni msela mwenye mpunga wa kawaida na wala hakua alwatani wa kiasi hicho kama baada ya ma deal kunoga mixer na za escrow ikawa ni balaa zaidi.Alikua ana kabla ya kua na salama ,mpunga wa maana tu
MTC | 101| [emoji769]
Aisee itakua alikua tajiri kweli baada ya kuanza kuuziana na mbowe mafuta ya 'taa' kwny ile petrol station,hahah.Asante sana mkuu kwa kuweka sawa taarifa. Hawa vijana wamemjua Albert juzi wanakuja kupotosha humu JF na kuandika habari za UONGO. Eti aliokotwa na Mzee Kiaro vitani uganda! Wakati ni mtoto wa Meja Kiaro aliyezaa na mganda.
Ana maghorofa kitambo tu hapa mjini. Ndio maana nikashangaa jamaa mng'ato anavyohorojoka Eti amepata hela juzi enzi za JK.
Anafanya mambo kimya Kimya ,ni don kitambo SanaKabisa mkuu. Hana makuu na mtu anajifanyia mambo yake kwa nafasi yake.
Kwa kweli nimeamini Akili yako ni "Push to Start".Aisee itakua alikua tajiri kweli baada ya kuanza kuuziana na mbowe mafuta ya 'taa' kwny ile petrol station,hahah.
Aisee kwa mipunga hapa town alikua ni msela mwenye mpunga wa kawaida na wala hakua alwatani wa kiasi hicho kama baada ya ma deal kunoga mixer na za escrow ikawa ni balaa zaidi.
Namfahamu jamaa kitambo mkuu. Alikuwa mtu low key sana na hapendi makuu. Ndio maana nashangaa hawa vijana wa vijiweni wanapokuja humu na kupotosha watu kuhusu Albert.Anafanya mambo kimya Kimya ,ni don kitambo Sana
MTC | 101| [emoji769]
Zako nimeamini ni za 'kuchorea 7'.Kwa kweli nimeamini Akili yako ni "Push to Start".
Namfahamu jamaa kitambo mkuu. Alikuwa mtu low key sana na hapendi makuu. Ndio maana nashangaa hawa vijana wa vijiweni wanapokuja humu na kupotosha watu kuhusu Albert.
Asante sana mkuu kwa kuweka sawa taarifa. Hawa vijana wamemjua Albert juzi wanakuja kupotosha humu JF na kuandika habari za UONGO. Eti aliokotwa na Mzee Kiaro vitani uganda! Wakati ni mtoto wa Meja Kiaro aliyezaa na mganda.
Ana maghorofa kitambo tu hapa mjini. Ndio maana nikashangaa jamaa mng'ato anavyohorojoka Eti amepata hela juzi enzi za JK.
Nafikiri jambo kubwa lililopelekea Mzee K kukataa posa ni kutokana alimchukulia Albert kama kijana wake na mtu ambaye alimuamini katika shughuli zake kitambo. Albert ni mpambanaji na very Loyal. Ndio maana aliweza kufanikiwa katika umri mdogo na alikuwa anafanya biashara kubwa wakati huo kwa umri wake. Jamaa ni kichwa.Mmoja wa watu ambao walichangia fedha Mzee K za uchaguzi na yuko na Mzee K toka yuko mambo ya nje
Na ndio maana alipopeleka posa Mzee K alikataa ,ikabidi zipelekwe bagamoyo
Na yule Sheikh mtabiri ikabidi ajipe kazi kumuomba Mzee K
MTC | 101| [emoji769]
Nafikiri jambo kubwa lililopelekea Mzee K kukataa posa ni kutokana alimchukulia Albert kama kijana wake na mtu ambaye alimuamini katika shughuli zake kitambo. Albert ni mpambanaji na very Loyal. Ndio maana aliweza kufanikiwa katika umri mdogo na alikuwa anafanya biashara kubwa wakati huo kwa umri wake. Jamaa ni kichwa.
Ila Dr. Salama ni mke kaka. Unamjua umekua nae huyo binti na tabia zake. Nafikiri Albert anampenda kwa dhati huyo binti. Ukiwakuta pamoja huwa wana furaha genuine kutoka moyoni.
Pamoja sana mkuu. Allah atufanyie wepesi waja wake tuwe na mwisho mwema.Yes Albert ni kichwa ,Dr na Albert wanapenda sana sana, na Dr ana Roho nzuri mno toka shule primary mpk secondary
Alishtuka sana kujua Dr anaposwa na Albert ,na illkua ngumu mno hii kitu. Unajua Mzee K ilimsumbua sana ,na mbaya Dr akapata kitumbo ,hapo ndio ikawa doh ...but inshalaah mwisho wa siku mambo yako poa ,wana enjoy life UK huko
Ahsante, niwaache muendelee na nyuzi khs Kisena
MTC | 101| [emoji769]
Hahahaha, nami nilipita kuchangia kdg kuweka Sawa, siku njema MkuuPamoja sana mkuu. Allah atufanyie wepesi waja wake tuwe na mwisho mwema.
Mimi nilikuwa mpitaji tu katika huu Uzi mkuu. Ila nilipoona upotoshaji nikachangia ili kuweka taarifa sawa kuhusu Albert kwa sababu ni mtu tunafahamiana kitambo sana na kina Salum wote.