Hivi Reginald Mengi ni CHADEMA?

Si mlidai CDM ni chama cha wachaga?? Mengi ni mchaga, sasa sijui unalalamika nini?? Waachieni wachaga wajenge chama chao........................!!

kila siku humu jf wanatusi wachaga. watuache tuinuane wenyewe kwa wenyewe
 
Tanzania ukishakuwa Tajiri lazima uwe CCM ili uendelee kuwa Tajiri sasa hamia sijui chadema kama hujala jeuri yako.
 
Shida yako kubwa ni Chadema kupewa Air time I.T.V hakuna kingine na kwasababu litbc linainyima nafasiw cdm basi ulitaka iwe hivyo na kwa I.T.V jambo ambalo haliwezekani kwasababu si chombo cha ccm kama ilivyo kwa Tbc na startv

BACK TANGANYIKA

wewe housegirl wa nassari unaongea pumba tupu hapa
 

Ni kweli Unafiki wa Kisiasa upo sana hapa Tz wapo wanaojipendekeza kwa Uwazi wengine hujipendekeza kimya kimya lakini kikubwa huwa ni kulinda masilahi Binafsi tu Hakuna mwenye uchungu na kero za masikini wa Tanzania .
 
...we kichwa maji kweli,hebu leta tathmini ya tbc1,tbc2,tbc taifa na tbc fm,habari leo na dailynewz jinsi vyombo vyote hivyo vilivyo jivika koti la ccm,kisha ndo uinyooshee kidole itv...

Si lazima mengi a-copy staili ya TBC Kama wao wanapendelea CCM na yeye mengi anapaswa aje kivyake akidhi haja ya pande zote kwa usawa asifanye kazi kwa kuwaangalia TBC unavyofanya kazi, mengi ni ccm japo Chadema wanafaidi misaada yake sana hasa ukizingatia Chadema ni wachaga lakini siku tukiingia ikulu ajue Kama ana Madhambi hatumwachi lazima atinge kizimbani kuyajibu.
 
Tanzania ukishakuwa Tajiri lazima uwe CCM ili uendelee kuwa Tajiri sasa hamia sijui chadema kama hujala jeuri yako.

Unachokisema ni Ukweli mtupu na ukumbuke Ukweli unauma sana Matajiri wengi wa Tz akiwemo mengi ni ccm lakini huja hapa Chadema kujipendekeza tu wakihofia Kuwa endapo Chadema italitwaa Dola wanaweza kuhamishiwa Keko na Ukonga Kama makazi ya kudumu.
 
Wachaga wameunda Chadema kufanya jaribio la kututawala.
 
Tanzania ukishakuwa Tajiri lazima uwe CCM ili uendelee kuwa Tajiri sasa hamia sijui chadema kama hujala jeuri yako.

Unachokisema ni Ukweli mtupu na ukumbuke Ukweli unauma sana Matajiri wengi wa Tz akiwemo mengi ni ccm lakini huja hapa Chadema kujipendekeza tu wakihofia Kuwa endapo Chadema italitwaa Dola wanaweza kuhamishiwa Keko na Ukonga Kama makazi ya kudumu.
 
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii jiulize kwann cdm inapotea?mchawi......
Hizi ni swagger za MMU. Halafu kama we ni me hizi swags sio zako mkuu!
 
Mengi ni mnafiki sana, Hana uzalendo hata chembe, yeye anaangalia nani analinda maslahi yake tu! Ndio maana sasa anawatumia CHADEMA na wabunge wake kwenye ugomvi wake Binafsi na Prof.Muhongo.

Sasa ww ulitaka alinde maslah ya nani? Familia yako? Kwani ulimsaidia kufikisha hyo company yake hapo ilipo..Mengi ni mfanyabiashara na yupo kwa ajili ya faida, na hyo tv yake c ya taifa..anatumia hela yake kuiendesha...au ulidhn anatumua kodi yako... ITV ni mali yake anaweza kuifanya lolote analotaka...Jamn cjui elimu zetu zinatusaidia nn,usiwe mshabiki tu bla kufanya reseach..
 
Mengi ni nani?
Mtu mmoja anawezaje kuumiza watu vichwa?

Aingie tu chama chochote hata cha wala gongo haina shida.

Ccm ni ngumu sana kuitoa madarakani.

Ni mchagga na anatumia media zake vibaya kuruhusu wapinzani kukashfu serikali!
 


Kwa namna ulivyo panga hoja zako ....ni dhahiri kwamba unatakiwa ujijibu mwenyewe . Ulichokiandika huna uhakika nacho na umechanganya sana matukio. Haieleweki ipi ni hoja kati ya uliyo yaandika .Haujaeleweka kabisa na ujengaji wako wa hoja kwa maoni yangu NI KWA MISINGI YA TABIA YA CHAMA KILE KULE CHA WEZI SIYO HIVI HUKU VYA TUMBILI
 
Inawezekana mleta mada ni mgonjwa wa akili..!!! Hebu tupe na habari za TBC zikitoa prom kwa mazuri tu ya serikali mabaya huyaweka kusikojulikana. Uliwahi kuona TBC wakiirusha CDM kwa uzuri hata siku moja?!!!! Nakuhurumia maana upo steg ua kuwa punguani
 
Thread ya kipuuz naipuuzia. JF hii ni thread? Watanzania tupo 45m hiv kila mmoja akianza kuuliza, jf tutafika wapi?

Ok Mrisha Ngasa, Kaseja nae ni Chadema?
 
Kuna vyama vya siasa zaidi ya 18 kwa nn kila siku issue hapa ni chadema?
Ulitaka ITV nayo iwe biased kama TBC na Clouds TV?
Acha kuwa kanyanya wa fani.
 
MTEI alizindua kitabu chake kwenye HOTEL ya MTEI. unapokuwa muongo kupata aibu ni rahisi sana.
 
Hili si swali la kuuliza wakati unajua kabisa Chadema ni NGO ya wachanga.
 
Mbona hueleweki! ulitaka azindulie chumbani kwa mama yako?
 
Mengi ni mnafiki sana, Hana uzalendo hata chembe, yeye anaangalia nani analinda maslahi yake tu! Ndio maana sasa anawatumia CHADEMA na wabunge wake kwenye ugomvi wake Binafsi na Prof.Muhongo.
MSALANI polepole ndugu yangu.Umetumia maneno makali lakini jiulize wakubwa wako wanawekeza wapi pesa zao?Utakuja shangaa ukigundua kuwa Mengi si mwepesi kama unavyodhania kwani si ajabu pesa za wakubwa wako ziko huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…