Hivi Rais analindwa na vikosi vingapi vya askari?

Hapo vipi mzee? Kuna Warwanda bado?
 
Mambo mengine kuyaelezea humu unahitaji umakini wa hali ya juu. Hii mitandao ya kwetu huku si salama.
 
Point
 
Acha uongo wewe! Watanzania hawawezi kulindwa na wanyarwanda hata siku moja. Peleka ujinga wako kule
 

Hao wenye suti kazi yao ni kumtoa raisi kwenye eneo la hatari na kumpeleka eneo salama.... Hao wenye combat kazi yao ni kujibu mapigo kwa adui anapotaka kushambulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…