Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
- Thread starter
- #21
Yaani jinsi alivyo behave mbele ya Camera mpaka nikadhani labda siyo Polisi wa bongo, kwa jinsi alivyokuwa ana interact na mtuhumiwa, akimuelewesha haki zake na mengineyo mengi. Lakini alipohisi Camera wameziacha mbali akarudi katika hali ya Polisi wa bongo nimjuaye mimi.Yaani Ukitaka kujua hawa watu ni wanafiki wawe mbele ya kiongozi mkubwa ndo utajua wanatumia akili za kiki
Sijui huko kituoni hali itakuwaje.