ggenerale
Senior Member
- Jan 20, 2018
- 178
- 356
Naona mitaa ya mbezi hapa kuna shamra shamra za chama chetu tawala. Zimefana sana.
Ila natamani leo jeshi letu lingetuonesha kuwa Watanganyika wote ni sawa kwa kuleta yale magari vita pendwa ili kuzuia sherehe hizi.
Maana hata Baba Mwenye nyumba alishasema kuwa Polisi wasiwaone Watanzania ni wajinga
Ila natamani leo jeshi letu lingetuonesha kuwa Watanganyika wote ni sawa kwa kuleta yale magari vita pendwa ili kuzuia sherehe hizi.
Maana hata Baba Mwenye nyumba alishasema kuwa Polisi wasiwaone Watanzania ni wajinga