Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,477
- 2,651
Nikajua ni kilombero tu kumbe hata DSMNaona mitaa ya mbezi hapa kuna shamra shamra za chama chetu tawala. Zimefana sana.
Ila natamani leo jeshi letu lingetuonesha kuwa Watanganyika wote ni sawa kwa kuleta yale magari vita pendwa ili kuzuia sherehe hizi.
Maana hata Baba Mwenye nyumba alishasema kuwa Polisi wasiwaone Watanzania ni wajinga
View attachment 1083200View attachment 1083201