Hivi nyie watu wa DMV mkoje?!

Hivi nyie watu wa DMV mkoje?!

ulitaka wamakribishe kwa wimbo upi au kwa style gani,maana umelala sijajua ulitaka iweje hapa,maana kila anaepita analalamika alafu tuna rudi kulekule kwamba wote ni walewale hata we ungekuwepo ungetereza na hicho kibwagizo
 
Hivi exposure ni common and automatic???!!!

Mkuu iam not an expert on this language but iam afraid that ,the two words mean the same thing .Katika usage za common au automatic it is just a matter of semantic and choice of words.Yote yana maanisha Moja na indeed on issue of general nature I strongly believe that regarding exposure i can answer both in affirmative. suala hili ni automatic na common kwa sababu ndiyo habari ya mjini.

Huwezi kuhitaji utaalamu na kusoma vitabu volume kwa volume ilikupata jibu kwamba kwa Tanzania Jumamosi na Jumapili ni siku za Mapumziko au Wakristo wengi husali siku ya Jumapili.Ni masuala ya kiujumla mno .Kwa hiyo hata unapokuwa kwenye nchi ambazo kimsingi zimeendelea tunatarajia kuona na kupata toka kwa mtu wa namna hiyo uelewa mpana zaidi wa kutafiti,kudadavua na kufanya mambo .Hatutarajii kusikia kutoka kwa watu wa namna hiyo nyimbo za kwenye Vigodoro
 
Ish....kumbe majuu nako "hamnazo"!:A S wink:
 
Kwani Nyani Ngabu sio member wa DMV?

Kuna kitu Le Mutuz aliandikaga hapa juu ya ugumu wa maisha kwa walio wengi uko majuu (especially wale walioenda bila nyaraka muhimu) watu wakambishia.

Naanza kukubali kwamba majuu maisha si mchezo!
 
Last edited by a moderator:
Kwani Nyani Ngabu sio member wa DMV?

Kuna kitu Le Mutuz aliandikaga hapa juu ya ugumu wa maisha kwa walio wengi uko majuu (especially wale walioenda bila nyaraka muhimu) watu wakambishia.

Naanza kukubali kwamba majuu maisha si mchezo!

Kwani we ulidhani mi naishi DMV?

Mi naishi Dar...Mbezi Beach to be specific na nina ocean front house (mansion).
 
Kwani we ulidhani mi naishi DMV?

Mi naishi Dar...Mbezi Beach to be specific na nina ocean front house (mansion).

Okay, mi naona kila wabeba box wakitajwa wewe unaitwa kama Rais wao.

Hapo nikadhani uko huko na wewe. Na ulivyoileta hii ndo ukanichanganya kabisa kwa kuwaponda watu niliodhani uko nao around.

NB: Hongera kwa kuwa na Mansion (Ocean Front House)! Big up man, nadream hii kitu si mchezo.
 
Wewe NN hawa wamekuudhi kitu gani??!! Wewe si huwa unatetea ujinga wa kuacha watu wafanye wanavyojisikia?? Sasa wewe watu wanafurahia na maisha yao wewe inakuuma nini?!!

Get the taste of your own medicine "Mind your own business".

By the way hii haina maana kwamba naunga mkono, ila nashindwa kuelewa kwa nini wewe ikukere.
 
Wewe NN hawa wamekuudhi kitu gani??!! Wewe si huwa unatetea ujinga wa kuacha watu wafanye wanavyojisikia?? Sasa wewe watu wanafurahia na maisha yao wewe inakuuma nini?!!

Get the taste of your own medicine "Mind your own business".

By the way hii haina maana kwamba naunga mkono, ila nashindwa kuelewa kwa nini wewe ikukere.

Kama wao walivyo na haki na uhuru wa kufanya wapendacho nami nina haki na uhuru wa kukereka nacho.

La muhimu sijasema wasifanye ujinga wao au kupendekeza wapigwe marufuku kufanya huo upuuzi wao.

Mimi ni muumini pia wa haki ya watu kuwa wajinga.


 
Umasikini, kujipendekeza na Ukiritimba....
Kama watz wa kwenye taasisi za kawaida kabisa....

Mkwamo wetu ni wa kifikra zaidi... ni ngumu kutoka!!!
 
Kama wao walivyo na haki na uhuru wa kufanya wapendacho nami nina haki na uhuru wa kukereka nacho.

La muhimu sijasema wasifanye ujinga wao au kupendekeza wapigwe marufuku kufanya huo upuuzi wao.

Mimi ni muumini pia wa haki ya watu kuwa wajinga.


Haya NN nimekusoma mkuu.
 
Yaani hapo mawazo ya kila mmoja wao ni kuwa atateuliwa kushika wadhifa fulani kutokana na uchangamfu na jinsi anavyoonesha kumkubali Mheshimiwa pamoja na kuvaa sare za CCM. Ni hivyo tu. Na wanafanya hivyo kwa kuwa kuna wenzao walishafanikiwa kwa kutumia mbinu hizohizo. Kwamba Kiwete akiona unaishi DMV na unamkubali + mkereketwa wa CCM, basi hachelewi kufikiri kuwa wewe ni mtaalam wa diplomasia (na Amerika kwa ujumla) na hacheweli kutafuta mahali pa kukuweka. Rais wetu Kiwete anadharaulika sana.
 
Hebu oneni huu upuuzi wa hii mijitu ya DMV.

I mean, what the hell is this? See it for yourself folks.

Eti baba baba.....man STFU! Mnakera sana nyie mijitu.



kama ni mke, talaka hapo hapo .... inakera sana watu kutojiamini na kuanza kujipendekeza
 
Last edited by a moderator:
wivu tu unakusumbua kama demu vile. ulitaka wafanyeje sasa. ama kweli nyani kwake msituni akiwa mjini kishida.

Hebu oneni huu upuuzi wa hii mijitu ya DMV.

I mean, what the hell is this? See it for yourself folks.

Eti baba baba.....man STFU! Mnakera sana nyie mijitu.

 
Last edited by a moderator:
Pole sana, tunavuna tulichokipanda kwa muda mrefu..... Aliwahi kusema Mch. Msigwa Pale bungeni, akili kubwa au ya juu imekubali kutawaliwa na akili ndogo au au akili ya Chini.

Na mimi naungana naye kwamba sisi watanzania tunapenda sana kujipendekeza na ni waoga sana... Ukiangalia kuna Wazee hapo na wanasalimia Shikamoo Rais na yeye anawaambia hamjambo? nao wanaitikia hatujambo shikamoo kama wanafunzi wa shule na waalimu wao.

Nami nilishtuka kusikia wazee waenzake wanapiga shikamoo. Hebu tusaidie kiprotocol ndio inakuwa hivyo.
 
Nn Nilifikiri ukisha chukua uraia wa marekani masuala yote ya wabongo hu pay attention kabisa...ni kama unamlalamikia an ex wife kwa kukuaibisha..or am wrong?
 
Hiyo mijitu imenikera sana.
..haya majamaa pamoja na exposure yaliyonayo bado yanazidiwa hata na baadhi ya wanavijiji wa TZ ya leo....leo hii kuna vijiji TZ hawadanganyiki na hadaa za wanasiasa wa kibongo...lakini inatia simanzi kuona mijitu hii iko US lakini yana behave kama hayajatoka.....ndo maana yanaalikwaga kwa ahadi za vyakula hadi leo wanapotembelewa na wanasiasa matapeli wa kibongo.....what a shame!!...
 
Sasa mtu alikua mcheza ngoma za nyoka hivi hapo mnategemea nini??muacheni aimbe tu fani yake..
 
Nn Nilifikiri ukisha chukua uraia wa marekani masuala yote ya wabongo hu pay attention kabisa...ni kama unamlalamikia an ex wife kwa kukuaibisha..or am wrong?

Kwani nani kachukua uraia wa Marekani?

Halafu kwa nini ufikiri hivyo? Kwani mtu akichukua uraia wa Marekani ndo anakata mizizi yote ya origin yake?

Hizo fikra wewe umezitoa wapi Bossman?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom