Hivi nyie wanaume mkoje?

Inaelekea unajua sana humu umeolewa hivi tuanzie hapo .
Kwa maana inaelekea unajua sana kila uzi unajua mwisho wake very nice.
Je una mume??
Je unawatoto napenda unijibu joana .


Easy MysweetL ......

Sijajua unaniwakia sababu ipi,kila uzi najua mwisho wake kwa lipi?hiyo comment yangu inaonesha kujua mwisho wa kitu gani?

Wewe suala la kumfata aliyekwambia umfuate linahusiana vipi na mimi kuwa na mume ama watoto?stress zako mpelekee aliyekuletea tafadhali
 
Acha unafiki wewe uende mbinguni .
 
Ushaomba nauli umetumiwa sasa kwenda imekua tabu had unafungua uzi
 
Jeur ya baada ya kutumiwa nauli + yakutolea
 

Mbona mi unanipenda tu na ni flat screen jamanii
 
Aisee, hakuna jiwe ambalo alitainuliwe!
Mvulana anapokutana na msichana haya ndo matomeo yake.
Sawa tumejuwa kuwa unafuatwa pm, ila siku nyingine mmalizane hukohuko pm.
 
Mbona mi unanipenda tu na ni flat screen jamanii
Anakusaidia tu na wewe uone unaishi..πŸ˜‚
Siku akiona unafaa kuchunwa ngozi taarifa zako tutazipata TBC ni Jambo la muda tu 😜

Joke..😜
 
Haya bhana no comment kama mmenisema hivyo.
 
Kwani akikufuata ndio atashindwa kukuchuna hiyo ngozi?
Unadai haujawahi kumuona, sasa utamuonaje ikiwa hautaki kuonana nae?
Nimewasha Hotspot, hebu connect WiFi uko ulipo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…