Hivi nyie ni Akina Dada kweli au...?

Nina Mashaka sana kama tuna Akina dada/wanawake humu ndani ya jamvi. Kuna watu wanajifanya wanawake, na kisha wanaishia kuwazingua akina Chrispin, Masanilo, Nguli, Fidel180, Geoff na Wakware Wengineo waliobobea kwa kupenda Avatars!.
Hebu tazama mabandiko yafuatayo:

Jamani nimecheeeeeeka ..hivi kweli utataka ujue huwa anafanyiwaje kama anapewa kisamvu cha kopo na wewe utaamua kumfanyia mkeo ili asiend huko anakoenda
-- Firstlady

na sisi tukitoka nyumba njia nzima tusipoitwa au kutongozwa tyunaenda kwa wanganga kwa nini? usiposemesha na mwananume ukirudi unajiangali una kasoro gani?jamani hata bibilia imesema kuwa mwanamke ni pambo hivyo hakuna jinsi inabidi tukubali yatokanayo tu.
Kwakuwa usipotongozwa utasema unagundu,
Usiposemeshwa na mwanaume itabidi ujiangalie kwenye kiooo
Why?????kwa nini?twawasingizia wanaume kuwa ndo wasumbufu????
-- Chaku

We! kwa hiyo unataka kuniambia mimi natamani hicho kitovu hata siku moja,nikitokea hapo utashikwa kigugumizi.
--Joyceline

Kuna wengine kibao kama akina VeraCity, Pretty, WoS, Nyamayao, Agika, Msindima etc, ambao mimi binafsi nina`doubt sana ujinsia wao, japo wameamua kujitambulisha kuwa wao ni -ke!

Kama akina dada mpo, basi mnisamehe,... tucheke tunenepe, wikiendi hii jamani, lol!

Kuna badhi ya majina hapa ukumbini ni vigumu kuyafahamu ni ya jinsia gani. Unaweza kudhani jina la jinsia hii kumbe sivyo, lakini pamoja na hayo ukifuatilia sana jumbes za majina ya hao uliowaweka hapo juu utaona wengi hawafichi jinsia yao na wamewahi kuandika zaidi ya mara moja kwamba wao ni wa jinsia gani. Sijui kuna faida gani ya mwanachama wa JF wa jinsia fulani kuja hapa na kujifanya ni wa jinsia nyingine ambayo haimuhusu.
 
Hapa JF watu tumekuwa tukificha Identity, sasa mimi nashangaa inakuwaje watu mpo concerned sana na jinsia za watu? maana kama hujajua jina langu kwanini ujue kama mimi she/he nadhani hiki kijiwe ni kijiwe cha hoja na sio nani katoa hoja bali hoja imakaaje? Mbona watu wanatumia Avatar za nyani hajawahi hata siku moja kuwaluliza kama ni watu au wanyama?
 
Hapa JF watu tumekuwa tukificha Identity, sasa mimi nashangaa inakuwaje watu mpo concerned sana na jinsia za watu? maana kama hujajua jina langu kwanini ujue kama mimi she/he nadhani hiki kijiwe ni kijiwe cha hoja na sio nani katoa hoja bali hoja imakaaje? Mbona watu wanatumia Avatar za nyani hajawahi hata siku moja kuwaluliza kama ni watu au wanyama?

Yeah! Hapa tunajadili hoja kuliko nani anatoka wapi? Kabila gani? Bila kujali dini,jinsia n.k ndo maana hata kama we ni dume unaweza ukaweka avetar hata kama ni ya kike,no problems so let's concentrate on discussing facts rather than dealing with minor things like is he/she?
 
Makubwa bythe way ngoja niingie bafuni kuchungulia jinsia yangu nikija nitasema Wknd njema!
 
Makubwa bythe way ngoja niingie bafuni kuchungulia jinsia yangu nikija nitasema Wknd njema!

Ni Pm nije nikusaidie kuhakikisha kama hadi uende bafuni ndo ujue huenda inautata inawezekana ukawa hermaphrodite we haujui tu kama umejaliwa.
 
hili kweli linawezekana kama watu wanaficha majina yao watashindwa kuficha jinsia, kama ipo tubadilike
 
hili kweli linawezekana kama watu wanaficha majina yao watashindwa kuficha jinsia, kama ipo tubadilike


Lakini ma mdogo/ba mdogo, ni bora watu hao wakaficha majina yao na kutumia ya bandia, lakini wanapoficha na jinsia inakuwa ishu! lol!
 
JF kinachojalisha ni michango tu katika majadiliano.Kama mtu ni mwanamke, mwanaume au vyote isiwe hoja.Kwani baada ya kujua jinsia ya mtu halafu iweje?
 
JF kinachojalisha ni michango tu katika majadiliano.Kama mtu ni mwanamke, mwanaume au vyote isiwe hoja.Kwani baada ya kujua jinsia ya mtu halafu iweje?

Usibane bana! Wengine bado tupo tupo itatusaidia sana kupata wa ndani wetu..
 
Makubwa bythe way ngoja niingie bafuni kuchungulia jinsia yangu nikija nitasema Wknd njema!

Ha ha ha ha MR, umenichekesha sana! LOL! ukiziona jinsia mbili tofauti basi wewe ni Semenya...:);)
 
kama ni kweli midume inajifanya mitoto ya kike basi jibu ni rahisi ,lazima watakuwa mashoga hawa
 
Back
Top Bottom