Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Nenda Kigamboni. Kuna zoo moja nzuri sana. Tunaweza kukutana huko huwezi jua. Ukiona handsome boy mmoja mwenye athletic figure ujue huyo ndio Chris wako.
mhhh.......
Nenda Kigamboni. Kuna zoo moja nzuri sana. Tunaweza kukutana huko huwezi jua. Ukiona handsome boy mmoja mwenye athletic figure ujue huyo ndio Chris wako.
hili kweli linawezekana kama watu wanaficha majina yao watashindwa kuficha jinsia, kama ipo tubadilike
JF kinachojalisha ni michango tu katika majadiliano.Kama mtu ni mwanamke, mwanaume au vyote isiwe hoja.Kwani baada ya kujua jinsia ya mtu halafu iweje?
Unaweza kupropose!
taratibu ndugu..haya mambo ya mitandao utajikuta unaropose dada yako, mama yako au binti yako! Sijui utasema nini.
Mvina..... haya mambo ya kujificha nyuma ya jidubwana ambalo wahusika wanatumia majina ya bandia..ni hapo utakaposhikwa pabaya mbona aibu itakupata!Usiogope haitatokea hata cku moja nature will operate..
Mvina..... haya mambo ya kujificha nyuma ya jidubwana ambalo wahusika wanatumia majina ya bandia..ni hapo utakaposhikwa pabaya mbona aibu itakupata!
hebu fafanua kwenye bold basi.
Una uhakika dada/kaka Nyamayao?Kumbe yawezekana JojiPoji ni mdada eeh!...embu twambie mwaya!
We Chrispin mbona unaficha sura yako kwenye hii Avatar yako? ndo nyie mnaotuletea mashaka! hutuoni watu kama mimi, tuko hadharani!
Aa mkuu, si unacheki kono hilo. Hilo kazi yake ni kukumbatia kina she's. Halitii mashaka kuwa Chrispin ni dume la mbegu.
Kwani we humjui mdada anayeiwa Asha Ngedere...guu guu, konokono! Anakuzidi hadi wewe hapo mkuu! Weka mambo hadharani kibingwa!