cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,699
[emoji122] [emoji122] [emoji2] [emoji2]Umenimaliza nilitaka kuuliza swali la nyogeza lakini baaasi!!!
[emoji122] [emoji122] [emoji2] [emoji2]Umenimaliza nilitaka kuuliza swali la nyogeza lakini baaasi!!!
Rafiki inaoneka wanaume wa JF huko pm huwa wanakoma!.....siyo kwa mkwara huu!!Jamani Jamani Jamani ninunue kesi au nikupotezeee?
Ukiwemo sio? Au ?Rafiki inaoneka wanaume wa JF huko pm huwa wanakoma!.....siyo kwa mkwara huu!!
Rafiki nilitaka nijue tu na chura yako yote hiyo huwa huhitaji hata kumi ya mtu jamani?Ukiwemo sio? Au ?
Extrovert, uko serious au ndio just unamake fun?!Mi nimekuelewa cariha, hii ni love at the first post. Tafadhali naomba tuwasiliane mama.
Hapana hata siwezi kuipokea, analipia nini? Na mimi nauza nini?Rafiki nilitaka nijue tu na chura yako yote hiyo huwa huhitaji hata kumi ya mtu?
Rafiki umeanza yale maswali ya mahakamani sasa!.....umeuliza hilo swali ili nikijibu kuwa analipia utamu unijibu kuwa hata wewe unapata utamu pia![emoji53][emoji53][emoji53]......Naomba nijitoe kwenye hii kesi kwa sababu unaonekana una msimamo mkali kama msimamo wa CCCM kubakia madarakani!Hapana hata siwezi kuipokea, analipia nini? Na mimi nauza nini?
[emoji6][emoji6][emoji6]
Nilikuuliza lakini. ...ninunue kesi au tupotezee juu kwa juu....Rafiki umeanza yale maswali ya mahakamani sasa!.....umeuliza hilo swali ili nikijibu kuwa analipia utamu unijibu kuwa hata wewe unapata utamu pia![emoji53][emoji53][emoji53]......Naomba nijitoe kwenye hii kesi kwa sababu unaonekana una msimamo mkali kama msimamo wa CCCM kubakia madarakani!
Rafiki usiku mwema na Mungu akubariki sana![emoji124][emoji124][emoji124]Nilikuuliza lakini. ...ninunue kesi au tupotezee juu kwa juu....
Hiya kumi ikitoka kwako nitapokea. ...usiulize kwanini?[emoji6][emoji6][emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji120][emoji120][emoji120]Rafiki usiku mwema na Mungu akubariki sana![emoji124][emoji124][emoji124]
Umeonyesha bila shaka kwamba kila mtu na kiwango chake.Kuna hii mentality kwamba mademu wengi wanapenda pesa. Ila mi nimekuwa nikipata shida sana kuelewa hichi kitu.
Nilitaka kujua kwa wanawake ili useme jamaa yangu ana pesa ni kwamba anatakiwa awe na pesa kiasi gani?
Unakuta kwa mfano kuna demu tu wa uswazi ukiwa kila siku unampa vocha ya 1000 halafu kila mwisho wa wiki unampa labda 20000 kimahesabu hapo ni kama ki 150k kwa mwezi na demu anaweza kukuona huyu jamaa yangu ana pesa kinoma.
Upande mngine unakuta demu wa corporate world ama wa chuoni akishamuona mshikaji ana kagari cha 10M halafu kila mwisho wa week wanakula bata hata za 100 plus vi mzinga vya 50k 70k .. Hapo anaamini mshikaji ana pesa.
Wakati deep down, hayo mambo mtu mwenye kipato cha 3M anaweza kuyafanya hayo yote na akati mtu mwenye uwezo qa 3M kwa mwezi ni mtu wa kawaida tu.
Swali: Ni kwanini wanawake mnakuwa cheap sana? Mnaangalia material things halafu material things zenyewe ni hivo vi elfu sabini hamsini..
Mjumbe hauawi.. Jiwe limetua ikulu.. Kama nakuona wewe demu unajiandaa kudanga kwa jamaa yako mwenye pesa.. Pesa yenyewe sh ngapi kwanza?
Kama kweli hupendi kupokea kutoka kwa mpenzi wako na wewe ni mwanamke.Mimi huwa napenda kwanza sipendi kuomba ombaga vtu hyo ni principle yangu na sipendi kutamani kupokea kitu kwa.mtu
Ndio siombi hela nimeishi maisha yangu bila kumtegemea huyo mwanaume, pia sijaolewa ukiwa mwanaume unsjiongeza hii itakusaidia hapa na pale ka hutoi sikuombi kwangu naona umalaya flani, hebu nambie hyo kasoro yangu nijijue ila kuomba omba sio kwa mpenzi tu huwa cpendi kabisa.Kama kweli hupendi kupokea kutoka kwa mpenzi wako na wewe ni mwanamke.
Niruhusu niseme wewe una kasoro ....samahani lkn kama nmesema vibaya. Saikolojia inahukumu
Niko serious babu, nmemuelewa mama huyo akiiExtrovert, uko serious au ndio just unamake fun?!
Unavyosema kusaidiana ina maana na wewe unatoa au we kazi yako ni kupokea tuKumekucha mambo ya kusaidiana pesaa mnasema tunawaomba
Kuna hii mentality kwamba mademu wengi wanapenda pesa. Ila mi nimekuwa nikipata shida sana kuelewa hichi kitu.
Nilitaka kujua kwa wanawake ili useme jamaa yangu ana pesa ni kwamba anatakiwa awe na pesa kiasi gani?
Unakuta kwa mfano kuna demu tu wa uswazi ukiwa kila siku unampa vocha ya 1000 halafu kila mwisho wa wiki unampa labda 20000 kimahesabu hapo ni kama ki 150k kwa mwezi na demu anaweza kukuona huyu jamaa yangu ana pesa kinoma.
Upande mngine unakuta demu wa corporate world ama wa chuoni akishamuona mshikaji ana kagari cha 10M halafu kila mwisho wa week wanakula bata hata za 100 plus vi mzinga vya 50k 70k .. Hapo anaamini mshikaji ana pesa.
Wakati deep down, hayo mambo mtu mwenye kipato cha 3M anaweza kuyafanya hayo yote na akati mtu mwenye uwezo qa 3M kwa mwezi ni mtu wa kawaida tu.
Swali: Ni kwanini wanawake mnakuwa cheap sana? Mnaangalia material things halafu material things zenyewe ni hivo vi elfu sabini hamsini..
Mjumbe hauawi.. Jiwe limetua ikulu.. Kama nakuona wewe demu unajiandaa kudanga kwa jamaa yako mwenye pesa.. Pesa yenyewe sh ngapi kwanza?
Weee bwana weee tutafungulia biashara wangapi? Ebu usiharibu haka ka utaratibu ka post paid kanasave sana 20k at the best.Mi sikatai mwanamke kuomba omba hela ila ninacho mind ni kwamba naona kama wanawake wengi madai yao ya pesa yana mtizamo wa umasikini.
Unakuta mwanamke anaomba hela ya vocha, mara elfu 20000 ya saluni Really? Kwanini mizinga isiwe kwenye vitu vya msingi?
Kwanini utume hela ya kuomba vocha? Kwanini usimuambie man wako akufungulie genge upate hiyo hela ya vocha na saluni?