finnest
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 834
- 1,240
Hapo sasa naona utakuwa na tatizo.. Yaani una biashara ya kukuingizia kipato halafu unaomba hela? Ina maana wewe pesa yako ya faida ina kwenda wapi kama lazima uendelee kypiga mizinga wakati una biashara kukuingizia? None sense
Tatizo langu nmelikubali na nina lifurahia...... hata huo unon sense ninaupenda zaid !!!!! Na usitake au kulazimisha wote tufanye kama unavyotaka wewe .