Hivi nyama ya chui inaliwa?

Hivi nyama ya chui inaliwa?

Nyama yake inaongeza nguvu za kiume

Ni salama ndugu
 
Nyama hizo tamu sana ila huyu interest yake ilikuwa matusi
b5b8cd837b33da4c8efd2b4cdbe2f423.jpg
Matusi gani mkuu
 
huu ni uhalifu. Unahitaji kuwa na kibali toka mali ya asili cha kumuua huyo chui/chita.
 
Sio chui huyo.ni paka flani la porini lina miguu mirefu.
 
Wawapi hawa watakuwa wanajua farujonii alipo wasaidie police
 
Mhh chui gani kimbao mbao hivyo ? Atakuwa jamii ya paka ila sio chui
 
Uko sahihi sana mkuu.

Hakuna lynx Africa wakuu. Lynx wanapatikana Ulaya, America na Asia. Africa tunae CARACAL amabae pia huitwa African lynx just kwa maana amefanana umbile na lynxy ila SIO lynx. Ni kweli sio cheetah huyo pichani. Huyu anaitwa SERVAL CAT. Yupo confined only in Africa. Serval cats ni omnivores kwa maana wanakula nyama as well as majani in some occasions. Anapendelea ukanda wa juu, kwa Tanzania sehemu zenye uhakika wa kumkuta ni Kilimanjaro NP na Serengeti NP. Navyofahamu CATS wote hawaliwi ila uamuzi wa mwisho ni juu ya mlaji.

Kama mhifadhi sikushauli kula na pia ni kosa kwa maana hiyo ni nyara ya serikali, sina hakika kama kibali kimetolewa.
 
Chui ni mnyama mkubwa na ana nguvu huyo ni aina ya wild cat

Chui pia ni Wild Cat mkuu., Wild cats ni jamii ya paka wanaoishi porini., inajumuisha Simba, Duma, Chui, Tiger, Lynx na hata wale Simba mbarara. Ingawa kuna tofauti pia kuna Big Cats na Small cats.
 
Back
Top Bottom