Hivi nyama ya chui inaliwa?

Hivi nyama ya chui inaliwa?

acha mtu mkuu kenge ni mtamu sana sema ndo hvyo huwez kuwambia watu maana wanaweza kukuchkulia tofauti ila ukipata bahat ya kuonja walau cku moja basi utakuwa unawasaka hatari
Nasikia ni mtamu sana, namlia timing aingie kwenye 18 zangu nimjaribu. Hivi maandalizi yake yakoje?
 
Nasikia ni mtamu sana, namlia timing aingie kwenye 18 zangu nimjaribu. Hivi maandalizi yake yakoje?
kazi kwe kumtoa ngozi tu maana usipoangalia nyama nying unaweza itupa pamoja na ngozi yake pia vitu vya ndani vyote kama maini na makorokoro mengine hakikisha unayatoa vizuri kisipasuke hata kimoja na vyote uvitupe usivipike wala nn baada ya hapo mambo yanaendelea kama unapika nyama ya sungura vile yuko vizuri sana aisee
 
kazi kwe kumtoa ngozi tu maana usipoangalia nyama nying unaweza itupa pamoja na ngozi yake pia vitu vya ndani vyote kama maini na makorokoro mengine hakikisha unayatoa vizuri kisipasuke hata kimoja na vyote uvitupe usivipike wala nn baada ya hapo mambo yanaendelea kama unapika nyama ya sungura vile yuko vizuri sana aisee
Sawasawa. Ngoja Nitalifanyia kazi!
 
Kimsingi wAnyama wote kwenye asili ya kila nyama hawaliwi.Bali wale walao majani ndio huliwa.zaidi ya hapo binaadam ni wAlafi tu.
 
Huyo ni paka pori. Nishawawinda sana hao wadudu kipindi hicho naishi huko wilayani Mbozi. Very nice meat!
 
Back
Top Bottom