miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
kama unataka nikuzalie andaa dola 10,000 nakaa na mtoto miezi mtatu nakukabidhi kama dili nije pm tuandikishaneLabda iyo pesa nkupe unizalie kadogo Kisha uniachie mwanang!!
kama unataka nikuzalie andaa dola 10,000 nakaa na mtoto miezi mtatu nakukabidhi kama dili nije pm tuandikishaneLabda iyo pesa nkupe unizalie kadogo Kisha uniachie mwanang!!
hawez kosa wa mama mkubwa,mdogo wa baba mkubwa,mdogo,,Je km hana dada
Bado mkuu!
Nasubiri wakati wa Bwana.
Halooo Miss nimekuelewa hapokama unataka nikuzalie andaa dola 10,000 nakaa na mtoto miezi mtatu nakukabidhi kama dili nije pm tuandikishane
asante mkuuHalooo Miss nimekuelewa hapo
Ingekua that easy kila mtu angekua ameolewaThis is our time now,,we make it now n we live forever precious lady
Me ninayo hiyo pesa.....njoo tu unifunde.mkuu unayopesa unilipe milioni moja tu kwa wiki nikufunde akili yako itabadili mtazamo wako na utapenda ndoa mnoo
LIFE BEGIN AT 40,haha!Ukifika 40 ndo utaelewa
nakujaMe ninayo hiyo pesa.....njoo tu unifunde.
Ingekua that easy kila mtu angekua ameolewa
Mkuu unamzungumzia BAshite yupi wa Call me J aka KOLOMIJE au???😀😀😀Yani hapa ndio huwa sichangii point hata km swali linahusu ndoa ya Daud Bashite
kaombewe pepo huyoSichukii wanawake,nawapenda Sana, na ndio maana huwa nataman kupata katoto kamoja ka kike.
Tatizo lang lipo kwny abali za kuoana tu.
Hivi mkuu umefikilia nini kupost thread kama hii saa 8 ya usiku,
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Lala mkuu ,
UTAOA TU.

Ila kweli kk ntamake sure namuweka ndani..Mkuu km unafanikiwa ukiwa nae oa. Tena usimuache aende!!
hahahaha.. Huyo huyo mkuuMkuu unamzungumzia BAshite yupi wa Call me J aka KOLOMIJE au???😀😀😀
sina pepokaombewe pepo huyo