Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,404
Tuko pamoja mkuu. Hata mimi nimeghairi. Nilikachemkia kabinti ka Kisukuma majuzi hapa kidogo kaniue kwa presha. Yaani hivi vibinti vya kisasa aisee ni kazi tena pevu.
Kwa sasa nimeamua kumkazania Mungu na mengine yote katika dunia hii ni madogo. Nina amani na ridhiko la kweli. Wakati ukifika bila shaka nitapata ishara otherwise kama ulivyosema, siyo lazima wote tuoe. Hapo nakubaliana nawe kabisa kwa asilimia 100 zote kabisa !
Kwa sasa nimeamua kumkazania Mungu na mengine yote katika dunia hii ni madogo. Nina amani na ridhiko la kweli. Wakati ukifika bila shaka nitapata ishara otherwise kama ulivyosema, siyo lazima wote tuoe. Hapo nakubaliana nawe kabisa kwa asilimia 100 zote kabisa !