Hivi nitakuja kuoa kweli!!

Hivi nitakuja kuoa kweli!!

Wajuzi wa mambo nawasalimu..
Aisee sijawai fikilia kuoa, yani imefikia kipindi hadi aya mambo ya ndoa nahisi kama sikuumbiwaga mimi.

Kuhusu kusalitiwa ni kweli iliwahi nitokea, lakini sioni kama ndio chanzo sababu hata yule aliyenisaliti sikumpenda kwa dhati. Kwa kifupi usaliti wake ulinisaidia sana kumuacha. Ni kweli Kuna kipindi huwa sitamani hata kukaa na mwanamke karibu, huenda ndio ikawa sababu Lakini bado siamini sababu napenda sana kukaa na Maza angu..

Au labda sababu nakinyaa sana (uwa nikiona Pd ya ke uwa nakosa hadi hamu ya Kula. Yani itanitesa kiakili hata miezi3 au habari za kuzama uvinza,aisee siwezi kwakwelii) Hii hali nishashindwa kuivumilia.Mnisamehe buree...Au labda sababu wanawake hulaumiwa sana..(Chanzo cha usaliti).. Au labda sio lazima wote tuoe.

Lakini pamoja na yote hayo, bado natamani kupata katoto ka kike!! wakuu, hakatakuja kufanyiwa malipo kweli hapa hapa duniani ? Au nibadilishe nitamani ka kiume!!! Kiafya sina tatizo lolote. Kuhusu kuumiza mwanamke sijawai pia, daima huachana kwa amani bda ya kumtafutia kosa.

Huwa namuonea imani sana mdada anayeleta story za sijui ndoa yetu, Yani hapa ndio huwa sichangii point hata km swali linahusu ndoa ya Daud Bashite
Aiseee sijui kama nitakuja kuoa!!!
Fuata kinachokupa amani na utulivu wa nafsi mkuu ili uwe na maisha marefu. Si wote tuna wito wa ndoa.
 
Wajuzi wa mambo nawasalimu..
Aisee sijawai fikilia kuoa, yani imefikia kipindi hadi aya mambo ya ndoa nahisi kama sikuumbiwaga mimi.

Kuhusu kusalitiwa ni kweli iliwahi nitokea, lakini sioni kama ndio chanzo sababu hata yule aliyenisaliti sikumpenda kwa dhati. Kwa kifupi usaliti wake ulinisaidia sana kumuacha. Ni kweli Kuna kipindi huwa sitamani hata kukaa na mwanamke karibu, huenda ndio ikawa sababu Lakini bado siamini sababu napenda sana kukaa na Maza angu..

Au labda sababu nakinyaa sana (uwa nikiona Pd ya ke uwa nakosa hadi hamu ya Kula. Yani itanitesa kiakili hata miezi3 au habari za kuzama uvinza,aisee siwezi kwakwelii) Hii hali nishashindwa kuivumilia.Mnisamehe buree...Au labda sababu wanawake hulaumiwa sana..(Chanzo cha usaliti).. Au labda sio lazima wote tuoe.

Lakini pamoja na yote hayo, bado natamani kupata katoto ka kike!! wakuu, hakatakuja kufanyiwa malipo kweli hapa hapa duniani ? Au nibadilishe nitamani ka kiume!!! Kiafya sina tatizo lolote. Kuhusu kuumiza mwanamke sijawai pia, daima huachana kwa amani bda ya kumtafutia kosa.

Huwa namuonea imani sana mdada anayeleta story za sijui ndoa yetu, Yani hapa ndio huwa sichangii point hata km swali linahusu ndoa ya Daud Bashite
Aiseee sijui kama nitakuja kuoa!!!
Sio lazima kuoa
 
9cc750f69233305da1417302fbcee6ba.jpg
 
Wajuzi wa mambo nawasalimu..
Aisee sijawai fikilia kuoa, yani imefikia kipindi hadi aya mambo ya ndoa nahisi kama sikuumbiwaga mimi.

Kuhusu kusalitiwa ni kweli iliwahi nitokea, lakini sioni kama ndio chanzo sababu hata yule aliyenisaliti sikumpenda kwa dhati. Kwa kifupi usaliti wake ulinisaidia sana kumuacha. Ni kweli Kuna kipindi huwa sitamani hata kukaa na mwanamke karibu, huenda ndio ikawa sababu Lakini bado siamini sababu napenda sana kukaa na Maza angu..

Au labda sababu nakinyaa sana (huwa nikiona Pd ya ke uwa nakosa hadi hamu ya Kula. Yani itanitesa kiakili hata miezi3 au habari za kuzama uvinza,aisee siwezi kwakwelii) Hii hali nishashindwa kuivumilia.Mnisamehe buree...Au labda sababu wanawake hulaumiwa sana..(Chanzo cha usaliti).. Au labda sio lazima wote tuoe.

Lakini pamoja na yote hayo, bado natamani kupata katoto ka kike!!

Mwanaume eti ukiona Pedi unahisi kinyaa wakati wenzako vile vimchuzi vinavyobaki kwenye Pedi tunaviramba tu hata uvinza tunakwenda bila nauli.
Wapige dushe tu, tena wasugue kisawa sawa kwani dunia ya sasa we ukiwa na kabinti kako haijalishi uliwapiga au hukuwapiga mabinti za watu katagongwa tu


sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
 
Tulia tu mkuu! Mda ukifika utaoa tu...
Kuna umri ukifika kama bado hujaoa kwanzia ndugu na jamii kwa uzima watakusakama. Baada ya umri fulani mwanaume hasiye na ndoa hudharaulika kiaina, we mwenyewe utatamani tu ndoa mkuu. Ko wala usiwe na papara, kula ujana ila mda utakuja uaenze kutamani ndoa.
Ndoa ni sign ya maturity na ability to be a responsible man. It takes more than dushe to be a husband aisee.
Hongereni wote mliochukua hatua ya kuoa.

Mwanaume ukiwa na pesa nyingi hata kama hujaoa, huwezi dharaulika na jamii, mm na vijisenti vyangu hivi sidhani kama ntakuja kuoa coz sipendi responsibilities, cjui lakini siwez jua kesho Paprika
 
Back
Top Bottom