Hivi nitakuja kuoa kweli!!

Hivi nitakuja kuoa kweli!!

Nimejitambulisha kwao. Niko siriazi kabisa. Nakahudumia vizuri. Familia ya kenyewe wakanifahamu vizuri. Mimi nakaheshimu nasubirisha siku ya harusi kumbe kenyewe kanampa papuchi yangu ex wake. Sasa eti kanalia kanaomba msamaha mpaka kupitia kwa mchungaji wetu mi hata hisia nako sina tena. Yaani hovyo sana mkuu!
Hahahahah.. Kasamehe tu mkuu.. Kashenz Sana ako
 
Kumbuka na hako katoto ka kiume kanazaliwa na mwanamke. Kama mama yako alivyokuzaa wewe.

Basi kama unawachukia wanawake na mtoto unamtaka na kama kuna njia ambayo mwanaume anaweza kukuzalia mtoto fanya hivyo raha jipe mwenyewe
Sichukii wanawake,nawapenda Sana, na ndio maana huwa nataman kupata katoto kamoja ka kike.

Tatizo lang lipo kwny abali za kuoana tu.
 
mkuu unayopesa unilipe milioni moja tu kwa wiki nikufunde akili yako itabadili mtazamo wako na utapenda ndoa mnoo
 
Zama makanisani wako wengi...ila jipange kupanga na kupangua maswali ya vifungu vya biblia
Jamani yaani niende kanisani kwa nia ya kumtongoza mtumishi(mama mchumgaji)
 
Mkuu, nimesema sina tatizo lolote la kiafya.. Huenda nilikuwa nawito WA kipadri, sema ndio vile siku concentrate mapema!!
Mapadri wenyewe sometime yanawashinda wananjunjuu kama kawa na wengine wana watt..
 
WE ushaolewa mtoto mzuri?
Tulia tu mkuu! Mda ukifika utaoa tu...
Kuna umri ukifika kama bado hujaoa kwanzia ndugu na jamii kwa uzima watakusakama. Baada ya umri fulani mwanaume hasiye na ndoa hudharaulika kiaina, we mwenyewe utatamani tu ndoa mkuu. Ko wala usiwe na papara, kula ujana ila mda utakuja uaenze kutamani ndoa.
Ndoa ni sign ya maturity na ability to be a responsible man. It takes more than dushe to be a husband aisee.
Hongereni wote mliochukua hatua ya kuoa.
 
Back
Top Bottom