Hivi ni vidonge GANI?

Kula vizur, fanya mazoezi , pumzisha mwili wako , ukizingatia hayo utaishi Kwa matumaini , by the way unayo nafasi hebu jiamin

Sterehe wanazipenda ila mwisho wao mbaya wengi wameteketea kwa kuendekeza umalaya.
 
Pamoja na kuvificha huko bado Mungu kakuonesha
 
Kwa nini uanike nje mambo binafsi (siri) kwa sababu ya uvivu uliokithiri? Google ipo kwa kila mtu, na uki"google" utapata majibu bila kujitangaza na kuanika mambo ya mwenzako.
Msaidie ku google
 
Hakakulia baada ya kujua ni kaathirika?
 
Kuna demu 1 alikataa nisimle kavu, nikasema mi mzima, yeye akasisitiza tumia kinga nikagoma, nilichokutana nacho, washukuriwe madaktari, baadae namwambia anasema mi nilikwambia ukakataa
 
Kuna demu 1 alikataa nisimle kavu, nikasema mi mzima, yeye akasisitiza tumia kinga nikagoma, nilichokutana nacho, washukuriwe madaktari, baadae namwambia anasema mi nilikwambia ukakataa

Ilikuwaje?ulipiga kavu
 

Lakin majibu yanatkiwa yasomwe ndani ya dakika 15 tu
 
Niambie chochote basi
Daah una moyo sana unapata hata ujasiri wa ku comment! Mwingine hapa lazima tumbo la kuhara likushike. Hapo ndio nilipokuja kugundua kuwa kuhara sio lazima ule au unywe chakula kichafu.

Kumbe inaweza tokea gafla mvurugiko wa tumbo ukaharibika kwa kupata habari mbaya na za kuogofya kama hizi za mtoa maada. Gafla gafla tu unajikuta umeshaenda toilet zaidi ya mara 5.
Wakuu tuwe makini sana kwa wale wilioponea kwenye tundu la sindano iwe funzo.hii sikia tu kwa wenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…