Hivi ni ulimbukeni au uelewa mdogo?

Hivi ni ulimbukeni au uelewa mdogo?

dream100

Rangi ya kiafrica unayojivunia ndio ipi hiyo? Maana Africa kuna rangi zaidi ya mbili..
 
Last edited by a moderator:
hivi hyo tatoo hapo iko sehem gan ya mwili wako?
 
Ushauri na maoni unayoyataka yatakusaidia nini????



Anyway, hao wadada wakija na wenyewe wanaweza kulalamika kuhusu mwandiko wako......

Clalamiki = silalamiki
Bari = bali
Awako = hawako
Cpati = sipati
Ndomana= ndio maana
Naitaji = nahitaji
Bd =bado


Haha hili ni tatizo kubwa sana, asilimia zaidi ya 90 ya watanzania tunafanya makosa mengi sana katika kuandika, kuanzia mpangilio mpaka maandishi. Kuna watu wana vyeti na nafasi kubwa kwenye jamii, ila akiku-text unatumia nguvu ya ziada kuelewa anamaanisha nini.
 
Pole sana dada, nicheki pm nikupe uzoefu! mtoto mzuri hupaswi kufanyiwa hivyo! pole sana mrembo, by the way nami nilikuwa namtafuta mwenye sifa kama zako! Mwaaaaa!!!!!

Na hili nadhani ndio lililokuwa likitafutwa zaidi... ni mtazamo wangu tu
 
Haha hili ni tatizo kubwa sana, asilimia zaidi ya 90 ya watanzania tunafanya makosa mengi sana katika kuandika, kuanzia mpangilio mpaka maandishi. Kuna watu wana vyeti na nafasi kubwa kwenye jamii, ila akiku-text unatumia nguvu ya ziada kuelewa anamaanisha nini.

Kwanza comment zenu humu ndani kwa post ya huyo mdada ni burudani kwangu.



Ila ni Kweli kiongozi sikuhizi ndo mtindo huo kuna kipindi mpaka huwa nachukia,mimi binafsi sipendi uandishi huo.
 
Ushauri na maoni unayoyataka yatakusaidia nini????



Anyway, hao wadada wakija na wenyewe wanaweza kulalamika kuhusu mwandiko wako......

Clalamiki = silalamiki
Bari = bali
Awako = hawako
Cpati = sipati
Ndomana= ndio maana
Naitaji = nahitaji
Bd =bado

very interesting
 
Hivi mna mjua mwinyi mpeku ???

Wasio mjua waje nina gazeti la SANI hapa!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Ambacho nimeki-note hapa kutokana na Hii thread, zaidi ya asilimia 79 ya hawa wadada ambao wame-coment wanajichubua, wanaforce tuwapende. kwa taarifa yenu jibadilisheni mwezavyo kama misukule, wanaume wa sasa tuna-apply Hit and run method.
 
Kila mtu ana uhuru wa kufanya chochote. Endapo hilo jambo litakuwa ni la kudhuru mtu au kujidhuru yeye mwenyewe kwa maana ya kuhatarisha uhai wake au afya yake ndiyo ni kosa kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za nchi husika. Tanzania hakuna sheria inayokukataza kujibadilisha rangi ya mwili wala ngozi. Kwa hiyo wasikuumize sana kichwa.
 
Ushauri na maoni unayoyataka yatakusaidia nini????



Anyway, hao wadada wakija na wenyewe wanaweza kulalamika kuhusu mwandiko wako......

Clalamiki = silalamiki
Bari = bali
Awako = hawako
Cpati = sipati
Ndomana= ndio maana
Naitaji = nahitaji
Bd =bado

Naamini mtanzania aliye hitimu darasa la saba na akafaulu hawezi kuandika hivi, bilashaka atakuwa ni standard seven, na kama yupo ambae amefanikiwa kuhitimu japo form four, simlaum yeye bali nailaum wizara ya eilimu, how comes mtu kama huyu afaulu?
 
Ambacho nimeki-note hapa kutokana na Hii thread, zaidi ya asilimia 79 ya hawa wadada ambao wame-coment wanajichubua, wanaforce tuwapende. kwa taarifa yenu jibadilisheni mwezavyo kama misukule, wanaume wa sasa tuna-apply Hit and run method.

79%! Wote hawa unawafahamu! Kama ni mtu wa hit and run hata hao wasiojichubua utawafanyia hivyo hivyo..
 
79%! Wote hawa unawafahamu! Kama ni mtu wa hit and run hata hao wasiojichubua utawafanyia hivyo hivyo..

Hao ambao hawajichubui ni wife materials, huyo hata ukimuoa unaweza ukamtuma sehemu na akapokelewa vizuri na haraka bila usumbufu.
here namaanisha, naweza kumuelekeza mwenyeji wake kwamba nimweupe na sifa zingene, but kwa huyo anaejichubua rangi yake itanishinda kuelezea, hata niki-asume kwamba nimweupe, mwenyeji wake anaweza kuona nimweusi na akaendelea kusubili mweupe afike, cause anaemuona hapo ni mweusi aliyejichubua na kuwa na rangi nyeupe ila siyo mweupe.
 
Media inaInfluence watu kwenye mambo mengi ikiwembo viwango vya urembo.

Unfortunately media yenyewe iko controlled na wazungu kwahiyo wametuaffect sana waafrika. Wanawake warembo wote ni weupe!!!

Ukiangalia picha nyingi za model couples za kiafrika, always mwanaume mweusi, mwanamke mweupe. ALWAYS.

Lakini hata kabla ya Tv na nini, si kuna makabila Tanzania eti mwanamke mweupe atolewa mahari kubwa zaidi!!

Labda wanawake weusi wakubali tu kuwa weupe ndo unapendwa zaidi!!
 
Hahahahaahahha eti weupe mahari zaidi hii naickia nw
 
Back
Top Bottom