Ndugu zangu hii kitu mimi hainiingii akilini.
Ukifatilia mijadala ya vijana wa CCM kuhusu hali halisi ya siasa na chama chao utashangaa.
Nimekuwa nikifatilia mijadala Star Tv kwenye kipindi cha Siasa, demokrasia na uchumi wale wageni wanaowakilisha chama na kujitanabaisha kuwa ni wasomi hawana content kabisa.
Wanaamini kuwa chawa wa kiongozi fulani hata kama anakosea itamtoa kimaisha.
Mwaka 2020 wakati wa uchaguzi tulishuhudia Lundo la wanaccm wenye Masters na PhD wakigimbea udiwani maelfu kwa maelfu.
Ukimuuliza anakwambia hata kama nikashindwa uchaguzi chama kitaniona naweza kuambulia japo UDAS au UDC.
Kila kijana mwenye Degree akaanza kujiona anaweza kuwa mbunge
Hizi ni njaa za ajira au kuna kitu kingine nyuma ya pazia?
Yule kijana aliyekuwa StarTv pamoja na Elia Mikaeli wa Buyungu alinikatisha tamaa kwa aina ya vijana tulionao.
Hawana vision wala mawazo yoyote tangible
Ukifatilia mijadala ya vijana wa CCM kuhusu hali halisi ya siasa na chama chao utashangaa.
Nimekuwa nikifatilia mijadala Star Tv kwenye kipindi cha Siasa, demokrasia na uchumi wale wageni wanaowakilisha chama na kujitanabaisha kuwa ni wasomi hawana content kabisa.
Wanaamini kuwa chawa wa kiongozi fulani hata kama anakosea itamtoa kimaisha.
Mwaka 2020 wakati wa uchaguzi tulishuhudia Lundo la wanaccm wenye Masters na PhD wakigimbea udiwani maelfu kwa maelfu.
Ukimuuliza anakwambia hata kama nikashindwa uchaguzi chama kitaniona naweza kuambulia japo UDAS au UDC.
Kila kijana mwenye Degree akaanza kujiona anaweza kuwa mbunge
Hizi ni njaa za ajira au kuna kitu kingine nyuma ya pazia?
Yule kijana aliyekuwa StarTv pamoja na Elia Mikaeli wa Buyungu alinikatisha tamaa kwa aina ya vijana tulionao.
Hawana vision wala mawazo yoyote tangible