habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
Mleta mada bwana
VIJANA NA WATZ UNGANENI HAMNA CHA KUPOTEZA ISIPOKUWA KUKANDAMIZWA NA KUDHULUMIWA KWETU.SAA YA UKOMBOZI NI SASA !!!Wadau hii habari ilianza kama masiahara wengi wakabeza kwamba ni kelele tu za mitandaoni, ila kadri muda unavyokwenda naona kampeni inapamba moto!
Huko kwenye magroup ya telegram mambo ni moto, vijana wana hali sana ya kudai uhuru uliopotea!
Nadhani ufike muda tuamue moja, kuungana na hawa wapiganaji au kuwapinga wazi wazi... kukaa kimya nafikiri ni unafiki wa hali ya juu lazima tuchague upande!!