Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,132
- 27,072
Wadau hii habari ilianza kama masiahara wengi wakabeza kwamba ni kelele tu za mitandaoni, ila kadri muda unavyokwenda naona kampeni inapamba moto!
Huko kwenye magroup ya telegram mambo ni moto, vijana wana hali sana ya kudai uhuru uliopotea!
Nadhani ufike muda tuamue moja, kuungana na hawa wapiganaji au kuwapinga wazi wazi... kukaa kimya nafikiri ni unafiki wa hali ya juu lazima tuchague upande!!
Huko kwenye magroup ya telegram mambo ni moto, vijana wana hali sana ya kudai uhuru uliopotea!
Nadhani ufike muda tuamue moja, kuungana na hawa wapiganaji au kuwapinga wazi wazi... kukaa kimya nafikiri ni unafiki wa hali ya juu lazima tuchague upande!!