kahata
Member
- Jan 17, 2021
- 88
- 52
Hivi ni sahihi kisarufi kusema nimekuja hapa tangu jana?
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
1. Nimekuwepo hapa tangu janaHivi ni sahihi kisarufi kusema nimekuja hapa tangu jana?
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Tangu ni neno ambalo hutumika kuonesha uendelevu wa jambo.Hivi ni sahihi kisarufi kusema nimekuja hapa tangu jana?
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Tangu ni neno ambalo hutumika kuonesha uendelevu wa jambo.
Mfano "magufuli ni raisi tangu mwaka 2015,hivyo kitendo cha magufuli kuwa raisi ni endelevu"....
^Nimekuja hapa jana^Shukrani kwa maarifa!
Asante Mwl, Ingekuwa Soka ningekuita Mwl KashashaTangu ni neno ambalo hutumika kuonesha uendelevu wa jambo.
Mfano "magufuli ni raisi tangu mwaka 2015,hivyo kitendo cha magufuli kuwa raisi ni endelevu"....
Dah asante sana, tunaongea kiswahili ila kina ugumu sanaaa, nimefaidika na kupata elimu na mchango wako, ubarikiwe sana.Tangu ni neno ambalo hutumika kuonesha uendelevu wa jambo.
Mfano "magufuli ni raisi tangu mwaka 2015,hivyo kitendo cha magufuli kuwa raisi ni endelevu"..
Nilikuja hapa tangia jana
Labda uniambie halijakaa mahala pake kimuundo, sio kusema halijafika Tanzania.Neno ^tangia^ halijafika Tanzania; lingali bado bandarini kutoka Muscat Oman
Labda uniambie halijakaa mahala pake kimuundo, sio kusema halijafika Tanzania.
Na kuhusu kuja ulikuwa useheme "nimekuja hapa jana"
2.nimekuwa nikipiga chabo tangu nilipobaleghe.(endelevu)
Ni sahihi mkuu lakini ukitumia li kwa vitendo hivi vya kawaida visivyokuwa vile vitendo ambacho havijirejei kama kifo n.k basi hiyo li huwa kana kwamba humaanisha kilifanyika kikapita.Nilikuja hapa jana na sio nimekuja hapa jana, nime---, hutumika kwa muda mfupi wa dakika