Hivi ni nini kinaendelea Clouds Tv?

Hivi ni nini kinaendelea Clouds Tv?

Kama mada zimeisha muwe mnasoma za wenzenu muelimike! sio lazima mtuonyeshe umburula wenu hapa....
Elimu elimu elimu.........kizazi kilichopotea huwa mnaropoka sana......hata haujui umeongea nini hapo na bado ngoja muendelee hivyo hivyo kuwa mzembe wakufikiri na kudadavua mambo ya msingi.....
Unaropoka tu hata haujajua mada inalenga kurekebisha nini unaanza tu kukandia kilaza mkubwa we.......

Na si ajabu ni moja kati ya wale 88 ambao walipata dv 4 ya BRN halafu wakajichomeka kupata degree udom na kurejeshwa kitaa na ndalikacho sasa hivi huna mbele wala nyuma......unabaki kurukia topic usizozielewa
 
Mijichannel ilivyojaa hv kwenye ving'amuzi unashindwa kubadili kwa kipindi hiki kifupi! au unalipia package ya buku.
Hili ni tatizo linalotukabili watanzania kwa sasa .....linaitwa unyumbu.......kuwa tunapoona mtu....taasisi ......au kikundi cha watu vinakosea hatupo tayari hata kutoa neno la kurekebisha au kukemea na kukosoa.....ila tunapotezea au kukaa kimya hata kama tuna cha kusema......mimi nipo tofauti huwa nachukua hatua kama raia mzalendo ambaye nasimamia misingi ya taifa letu ambayo inachezewa na watu vilaza.......usiwe muoga kuwa muwazi
 
Inahisi kwa hadithii yako hii wanaweza badilika kupitia ww sahau mkuu hao ndio clouds bhana kama ww hutaki pita vile wengine wanaangalia ni vema ukaangalia tbc nakushauri
Hamna heri kuwarekebisha wataziea hawa wakikaliwa kimya
 
Maelezo mengi kumbe chuki tuu zinakusumbua...
Angalia TV nyengine...
Sikiliza Radio nyengine...
Waache na process zao,,,
we ni mtoto wa ruge au......?! Mbona kama povu linakutoka na haujaelewa lengo la hii post.....

Ungeuliza pengine ungeelewa lakini umekurupuka fasta.....hebu jipange
 
we ni mtoto wa ruge au......?! Mbona kama povu linakutoka na haujaelewa lengo la hii post.....

Ungeuliza pengine ungeelewa lakini umekurupuka fasta.....hebu jipange
Mimi mjomba ni ake...
Mkuu angalia TV nyengine au ama nchi mfungo ukisha utajipima kurudi au kupotea kabisa...
 
Hiv unaelewa unachoandika
Umezaliwa mwaka gani kwanza nijulishe maana nisije nikawa nakazana nakaza misuli kujibu maswali ya katoto kalikozaliwa muda wa miaka baada ya 1996 maana wengi mliozaliwa miaka hii somo la uraia wakati mnaanza shule m'mekuta hili somo halipo hivyo hata hamjui A wala B kuhusu uraia wa tanzania.....wajibu wa raia wa kitanzania.......miiko ya taifa kwa ujumla kwa raia kufuata.......mnajua tu diamond na zari na wema .......


So kama vipi fanya upite hivi as if ni mchina haujui kusoma kiswahili
 
Mimi mjomba ni ake...
Mkuu angalia TV nyengine au ama nchi mfungo ukisha utajipima kurudi au kupotea kabisa...
Kama mnafumbia macho vitu muhimu kama hivi nadhani sijui mnajipangaje kuwa raia wa aina gani msio jua kukemea watu au taasisi zinazofanya mambo ambayo ni kinyume kabisa na ustawi wa jamii ya watanzania.......ni fedheha kubwa sana kuwa na aina hii ya kizazi kisichojua wala kuelewa misingi ya taifa ni nini.
 
Hili ni tatizo linalotukabili watanzania kwa sasa .....linaitwa unyumbu.......kuwa tunapoona mtu....taasisi ......au kikundi cha watu vinakosea hatupo tayari hata kutoa neno la kurekebisha au kukemea na kukosoa.....ila tunapotezea au kukaa kimya hata kama tuna cha kusema......mimi nipo tofauti huwa nachukua hatua kama raia mzalendo ambaye nasimamia misingi ya taifa letu ambayo inachezewa na watu ******.......usiwe muoga kuwa muwazi
Haujanishawishi bado maana naamini hili suala haujaliangalia katika uwiano sawa,kwanza ujeu ile ni TV Channel binafsi hivyo wana maamuzi yao.
Hivi ingekuwa mmiliki na top management ya Clouds Media imejaa maustaadh povu lako lingekuwa na ujazo gani sijui?
Mi ni mtazamaji wa Clouds Tv na local TV channels nyingine za hapa nyumbani lakini kwa Clouds kuamua kuonyesha usichokitaka katika kipindi hiki mi naona ni relevant.

Jifunze kuwa chanya hautaumizwa kamwe na vitu vidogo kama hivyo.
 
Watu wengi wabaguzi hupenda kulalamikia ubaguzi....
Pia wasiojua maana huwa hawaambiwi maana......kalaga baho kama umeclamisha kuwa mtu anapogusia maswala ya dini au imani ni m'baguzi........baki hivyo hivyo kwa hasara na gharama zako.
 
Mkuu tazama Emmanuel tv uone kwaya na mahubiri ya ki kristo.
 
Pia wasiojua maana huwa hawaambiwi maana......kalaga baho kama umeclamisha kuwa mtu anapogusia maswala ya dini au imani ni m'baguzi........baki hivyo hivyo kwa hasara na gharama zako.

Umeulizwa matangazo ya Christmas yanapoanza mapema November huwa yanakukera pia?
hukujibu...
 
Haujanishawishi bado maana naamini hili suala haujaliangalia katika uwiano sawa,kwanza ujeu ile ni TV Channel binafsi hivyo wana maamuzi yao.
Hivi ingekuwa mmiliki na top management ya Clouds Media imejaa maustaadh povu lako lingekuwa na ujazo gani sijui?
Mi ni mtazamaji wa Clouds Tv na local TV channels nyingine za hapa nyumbani lakini kwa Clouds kuamua kuonyesha usichokitaka katika kipindi hiki mi naona ni relevant.

Jifunze kuwa chanya hautaumizwa kamwe na vitu vidogo kama hivyo.
Chanel 10 imejaa maustaadhi but they know how tu behave kama media ya kisasa.........sasa sijui wewe unavyodhani ni kuwa kwasababu ni private media basi wanayohaki ya kufanya wanachotaka........BIG NO........hawatakiwi kufanya tu wanachotaka there are some rules and regulations to follow unapokuwa unakituo cha televisheni........sasa usidhanie uhuru ni kitu cha kuchezea chezea tu.....be smart......think deep na critically sio unafanya shallow thinking halafu unajiona umereason vya kutosha......we unajua impact au madhara ya dosari niliyoizungumzia.........mimi hadi napost hapa inamaana watu wanaizungumzia hii inshu huku mitaani na wao hawaelewi kama mimi ni kwanini hii stesheni wapo hivyo.....sasa usinijie na mob thinking hapa.......niambie umeelewa nini halafu nipe faida ya unachotetea kwa maslahi ya taifa sio maslahi ya raia wa dini fulani.....sawa bwana mdogo?!
 
Hata me nimeshaanza kuona kuwa kuna akili ndogo inapelekesha akili kubwa .......na akiendelea kupelekeshwa vile ajue ipo siku atakuja kufanya vitu vya ajabu sana na ndio maana chanel inapwaya siku hizi.......watangazaji wazuri wanakimbia........maamuzi ya ajabu ajabu yanapitishwa........what a waste kwakweli.
Imebaki siku km 9 au 8 tutawaachia channel yenu
 
Mkuu tazama Emmanuel tv uone kwaya na mahubiri ya ki kristo.
The aim ni kutoa rai kuwa hizi media za private wasiwe sehemu ya kudevide jamii kwa misingi ya dini au siasa zi kitu kizuri......wanachofanya clouds hakina impact nzuri kwenye jamii wanajenga aina fulani ya inferiority kwa watu wa imani nyingine kuwa imani zao si za muhimu ukilinganisha na imani hii ya kiislam......kama ulikuwa mfuatiliaji kipindi cha kwaresima ambacho huwa waumini wa kikristo hufunga siku arobaini sikuona hata salamu za kuwatakia kwa resima njema ila inapofika ramadhani basi tanzania nzima tunasilimishwa sasa clouds kama media wanachofanya ni aina fulani ya kudharau imani moja dhidi ya nyengine kwa kuwaachia waandaa vipindi wao kuandaa vipindi bila mipaka wala kuzingatia ustawi wa jamii na kanuni za kuheshimu misingi ya taifa ya umoja usiotambua tofauti za imani au vyama na makabila..........sawa bro
 
Umeulizwa matangazo ya Christmas yanapoanza mapema November huwa yanakukera pia?
hukujibu...
Matangazo ni sawa......media zote kuanzia magazeti..... redio na hata televisheni kutoa salam za furaha kwa sherehe za kiraia kama christmas.....mwaka mpya ... eid.....pasaka....za kitaifa kama uhuru ....muungano..........siku ya mama.....siku ya wanawake na hata wapendanao......ama za kumbukumbu kama nyerer day au karume.....ni kitu cha kawaida na ni jadi yetu watanzania.........lakini sasa ninachozungumzia mimi ni ile swala la kituo cha redio ama tv kukomaa na kampeni ya kutangaza shughuli ya imani fulani ama chama fulani utadhani inawahusu raia wote si jambo zuri na ni ukiukwaji wa miiko ya utangazaji maana ni kuhamasisha raia wajione wanatofauti kwa dini zao ama vyama vyao........sema ni vile kuwa watanzania mnajisahau sana.......hapo ruanda ukipost au kufanya jambo lolote ambalo ni kinyume na ustawi wa jamii unakwenda jela kama mhaini wa taifa....sasa kama haujanielewa vizuri naomba uwashe tv yako halafu tazama clouds tokea asubuhi hadi jiona halafu utanielewa naongea nini sawa binamu?!
 
Kumbe Clouds ni TV ya Taifa,,, ohooo aya endelea kuandaa makala, ila ukijakumbuka kuwa TV sio moja sijui utaiangalia vipi hii makala hewa yako maana jinsi inavyokuvua nguo cjui tu
 
Imebaki siku km 9 au 8 tutawaachia channel yenu
sio kuachia tu.....muache kuendekeza kushabikia ibada za watu utadhani ni mpira au nini sijui........
Kufunga ni ibada na haitakiwi stesheni kutumia mfungo wa ramadhani wala kwaresima kama kampeni ya kibiashara bali wanatakiwa wasimamie miiko ya utangazaji kwa kuwa namipaka inayotambua mambo ambayo yanaweza kuleta mfadhaiko kwa raia kulingana na aina ya maisha wanayoishi
 
Back
Top Bottom