Hivi ni nini hufanya nchi kuwa na Intelijensia imara?

Kivipi mkuu?

Kuanzia mwinyi hadi 2015 timu ilipoteana tena ikiwa uwanjani kwenye mechi ya ugenini na ngumu na hali hiyo ilisababisha hadi Kenya na Rwanda zikaanza kuwa na uwezo mzuri kiuchumi kuliko sisi.

Ila sasa, hali iko safi naamini tukiendelea hivi mambo yatakuwa mazuri kabisa.
 
HATUWEZI KUWA KAMA WAO sababu hatuna NIDHAMU kwa upanawake!!!

fomula ya intelgence ni ile ile dunia nzima kwa nn tusiwe kama wao?
 
PEOPLES WHO ARE EMPLOYED ARE UNFIT FOR TISS
Tiss ilikuwa ikifanya vizuri enzi za Mwl ukiniambia uchumi unasababisha kuzorota kwa ufanisi wa Tiss nakataa enzi za mwl uchumi ulikuwa mbovu kila mtu nishahidi (to be good spy is when you overcome the love of money and the fear of death) na Tiss ilikuwa ikifanya kazi bila kutambuliwa shida ilianza baada ya Tiss kutambuliwa kisheria na Act ya Tiss ya 1996 kuwekwa hadharani vilaza wenye connection waliingia kwa kiwango cha 4G wale wa unanijua Mimi ni nani jamii ya kinaigo siri na kurekebisha itachukua muda mpaka makapi yalio kwenye system watoke na ubaki mchele na pia recruitments zinazofanyika ziwe kama ile ya enzi ya mwl NILIKUWA NAWAZA TU (MUNGU IBARIKI TANZANIA)
 
ni mipango tu..naona nchi kama rwanda yenyew ni nchi ndogo ana lakin unaweza ukaona wana ambition ya kudominate pengine eneo lote hili la maziwa makuu kama mtu unaweza kusoma movements zao...................mi naona hawa jamaa wana ambitions za hatari kwe eneo hili na kwa jinsi walivyo serious lazima wataleta.......kngne pia nchi zetu znaweza kuwa na uwezo mzuri tu wa kijasusi lakin issue inaweza kuwa tunatumiaje uwezo huo kwa mfano C.I.A na K.G.B wote walikua wazuri lakin C.I.A pampja na mambo mengne lakn walifanikiwa sana kueneza ushawish wa marekan kwe nchi nyng pamoja na kufanya sana ujasus wa kiuchumi hata marafiki zake wa ulaya na hii ilsaidia kuboost uchumi wa nchi lakn K.G.B walijikita sana kwe ujasu wa mambo ya kijeshi pamoja na kueneza ucommunist na hii ilisaidia nchi kuwa taifa kubwa lenye ushawish na uwezo wa kujilinda lakin haikusaidia nchi kiuchumi...........kwa nchi yetu sisi hapa ukiangalia tulipotoka na mambo meng tulioyafanya kusaidia nchi zngne enz za kupigania uhuru basi ni wazi inatakiwa tuwe very active kwe foreign intelligence ili tuwe na ushawish na nchi ambazo tulizisaidia na tusibaki tu kuwa na sifa za tulisidia cjui ukomboz but hao tuliowasaidia leo hii hatuna ushawsh kwe hzo nchi.................km kanchi km rwanda kanajiongeza kwann cc tunanchi kubwa na rasilimali kibao tusiweze? ni mipango tu hasa jesh letu na intelligency maana wao wapo kila cku but ila hizi sirikali zetu hubadilika kisiasa.........
Tiss inabakia kuwa taasisi bora zaidi chini ya jangwa la sahara hao Rwanda na kenya wanafanya vitu ambavyo Tz ilifanya miaka ya nyuma (kutafuta ushawishi)

kwa suala la usalama Tz ipo vizuri acha JPM now apambanie uchumi ili faida ya resources zetu ionekane ....am sure tunaenda kuwa unstoppable hapa Africa
 
Kila mtu atimize majukumu yake bila shinikizo.

Tupambane na ujinga umasiki na siasa za kipumvavu
 
Back
Top Bottom