wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,495
- 29,283
Nimefuatilia nchi mbali mbali nikajaribu kuangalia majeshi yao wakati wa kifanya gwaride mbalimbali kutokana na shughuli husika nikafananisha na za hapa Tanzania nikagundua gwaride tunazofanya hapa hazina tofauti sana na za nchi za nje na kama tofauti ipo ni kidogo sana lakini mbinu inayotumika ni hiyo hiyo, nimejaribu kuuliza asili ya hizi gwaride ni wapi au nani au ni nchi gani ilianzisha nikupata majibu ya kuridhika.
Naomba kama kuna mwenye uelewa zaidi atujuze.
Naomba kama kuna mwenye uelewa zaidi atujuze.